Neno kwa Dr. jakaya kikwete na serikali yake.
Jirani akikuambia nyoka yupo ndani mwako ,usimuulize yuko wapi,wewe chukua hatua kumtafuta na kumuua huyo nyoka
kwa maoni yangu nafikiri Barak hakuwa anawasema Watu wa tanzania bali Serikali ya Tanzania)
Leo wana JF katika pitapita mitandaoni nimekuta hiii quote "if you are stand for nothing,you will fall for anything" nikaitafakari kwa mapana kwangu mie binafsi na taifa langu Tanzania.Je nini mimi binafsi nimesimamia na je nini Tanzania imesimamia?
majibu kuhusu mimi binafsi nimejijibu na...
Leo nimepata huu ujumbe(plz nisaidie kama unaweza, then issue ikitiki. mi ntakutoa ) kama private message
heading na body viko sawa
Nahisi hili ni bomu.
Leo ITV na TBC nimeona viti 2 vikiwa vimekaliwa na maji ya chupa ya kunywa mpaka mwisho wakati wa uzinduzi aliofanya Kikwete leo Dodoma.
kwa wanaJF hii inaashiria nini?
Ndani ya wiki hii kuna jamaa yangu mmoja anakaa maeneo ya MSOGA kaniambia kwamba JK alikuwa anatoa kafara/tambiko kwa kuchinja Mbuzi pale MSOGA nyumbani kwake.
my quote:
Hii wana JF mimi inanidhihirishia jamaa (JK) ni maji ya shingo
wana JF mimi kama mwananchi wa Tanzania naungana na CHADEMA katika kutoka bungeni wakati JK yeye kama yeye anahutubia Bunge.
ni kwamba wao (chadema) naona hawapingi serikali(URAIS) bali wanampinga JK yeye kama yeye na ndio maana chadema waliapa kuilinda katiba ya JMT bungeni na sio kwa JK...
UTATA katika ujumlishaji matokeo ya kura umezidi kuongezeka baada ya matokeo ya uchaguzi wa ubunge wa Jimbo la Vunjo yaliyotangazwa na Tume ya Uchaguzi (NEC) kutofautiana na yaliyotangazwa awali na msimamizi wa uchaguzi.
Kutangazwa kwa matokeo mapya ya jimbo hilo kumefanyika katioka kipindi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.