Na yule shehe na video yake mbona hajakamatwa na kuhojiwa.....what about Mwigulu Nchemba na video alizo nazo...mbona asikamatwe na kuhojiwa....ili alisaidie jeshi a polisi au ndo hiyo ya Lwakatare
clouds FM na power breakfast yao to hell wana upo mdogo sana katika mambo njaa zinawasumbua sana ...sasa wajifunza kufikiri vizuri especially Gerad Hando
Kumbato la jana bado linamnyevua...tatizo la maji UBUNGO tangu lini likawa ni la MNYIKA badala ya CCM..Kashadata kigori wa watu..hajui kuongea hivyo anamzaririsha waziri wake wa MAJI....
Itachukuliwa kama kawa when changes comes inakua kama mvua inakumba kila sehemu haijalishi ni ngome ya CCM au la
M4C no excuse no apology mpaka ukombozi kamili mwaka 2015
Na shule yake ya sekondari ndo kinara kwa kuvujisha mitihani,tena wakati yeye mwenyewe akiiendesha.tuna uahakika gani kama kwa sasa amejirekebisha...nilishawahi kusema huyu jamaa ni janga la taifa kwa mustakabali wa elimu yetu..check hiyo BA yake tangu 2002 mpaka 2008..hatariiii
Na shule yake ya sekondari ndo kinara kwa kuvujisha mitihani,tena wakati yeye mwenyewe akiiendesha....nilishawahi kusema huyu jamaa ni janga la taifa kwa mustakabali wa elimu yetu..check hiyo BA yake tangu 2002 mpaka 2008..hatariiii
Haya ni matunda ya mbegu za udini...mkuu wa kaya asipoangalia yanawezamshinda kabisa...this is getting serious the driver should take control of the car now
:embarassed2:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.