mmh!! Kwahiyo vyuo vyote vinavyogoma ni vya kata au? maana sijaona logic ya comment yako.. udsm juzi waligoma na arusha nako kuna chuo waligoma kwa hiyo vyote ni vya kata au? Jua mtu anapogoma anatafuta haki ndio maana kila kukicha kuna migomo..
Kwanza la kupaswa kujua ni kwamba, kuna watu wana mizunguko tofauti, 21, 28 na mizunguko mirefu more days than that. Natumain nikisema hvyo mnanipata, 2chukulie 28 ambayo ni ya wengi, kwa hapa wanakuambia kuwa cku ya 14 from siku ya kwanza kuona tone la kwanza ktk huo mwezi, kama mzunguko wako...
Kwanza la kupaswa kujua ni kwamba, kuna watu wana mizunguko tofauti, 21, 28 na mizunguko mirefu more days than that. Natumain nikisema hvyo mnanipata, 2chukulie 28 ambayo ni ya wengi, kwa hapa wanakuambia kuwa cku ya 14 from siku ya kwanza kuona tone la kwanza ktk huo mwezi, kama mzunguko wako...
The issue hapa watu hamjui sehem za mbalimbali huko njiani, kwaiyo ungesikia eneo linaloitwa Chalinze mzee karibu na dodoma napo ungedai chalinze c ipo karibu na Dar? Ilo ni jina tu!
Mi mwenyewe nastaajabu wanamezaje? Maana kwanza wanasema hazitaki maj, kwaiyo mtu anameza kavu kavu? Na kwngn nlisoma kuwa wanasukumizwa kwa ******u sasa si atachanika? Hapana, kuna njia wanatumia c bure! He!!
Mmh! Wanaume wanatesa vibaya!! Yan mwanamke hata ujitahd vp bado hawaridhiki, wanawaza ngono tu kila muda, ndo wanaosababisha wanawake tutafute pumziko. Na kweli ukimwi hau2achi kwa namna hii. Wanaume ni kero kero keroo wanaumiza sana wake zao!
Kama ulidu mara 1, then haujadu tena (maana kuna mtu kumbaka mtu mara kwa mara) na umekaa muda mrefu like 3-4 yrs huyo bwana anaweza kukuta kama sealed kwa sababu Uke utakua umeshrink lakini bikra hakuna.
Ukweli ni kwamba Asilimia kubwa ya watoto wa kwanza wanaume wengi huwa wamebambikiwa kama huamini chunguza. Ingekua hujamueleza muhusika kuwa una mimba ningekushauri USIMUELEZE kisha ufanye juu chini ukutane na mtarajiwa kimwili. Ila kwasasa jitoe mshipa wa aibu usiangalie mahari wala ndugu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.