Kama usipo pambana kuiondoa ccm utakufa tu kwa kukosa ajira na kama ukipambana nayo utakufa kwa risasi TAFAKARI
MY TAKE:hayo yote yanachangiwa kwa ukosefu wa ajira thats y vigogo wengi wanatumia udhaifu wa ccm na wanawatumia vijana kudeal na unga.
Wadau nimejiuliza hiloswali hapo juu baada ya kuona wimbi kubwa la privatization(sekta binafsi chini ya serikali yake) ninaposema sekta binafsi namaanisha makampuni binafsi au mashirika binafsi
naombeni mnifahamishe zaidi kuhusu hilo swali hapo juu.
Habari zenu wakuu..... na baada ya salam leo nataka tujadiliane mbinu sahii za kukabiliana na vikwazo vya kinadada kama vifuatavyo
1.Niko kwenye period
2.ninaboy friend/mume/mchumba
3.Ninaumwa(malaria/tumbo/kichwa)
4.mama yangu mgonjwa
5.Niko bize
6.Nimeokoka nampenda yesu
7.wiki...
Tangazo,tangazo waislam wote kama unaipenda sana dini yako basi nenda somalia au saudiarabia maana huko ndio wenzenu bado mfumo islam umetapakaa hata kazi mtapewa cha msingi muwe waislam.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.