Tatizo si fidia,
Kwanza mradi huo umejaaa wizi walisema mita90 ila kilichopimwa ni zaidi ya mita 800.
Nikwamba tunakataa matumizi mabaya ya ofisi za serikali, kama mtu anataka eneo aje tufanye biashara na si kujificha nyuma ya serikali na vyeo vyao.
Jana Mh mbunge wa jimbo la Kigamboni alipasua jipu kwa kuwaeleza wazi kwamba mradi wa barabara ya njia sita inayoanzia banana kuja chamazi hautambui, pia haukufuata taratibu na sheria. Alisema
1.Mradi huu si wakitaifa kwani haujawahi kujadiliwa bungeni wala hauna fungu katika budget ya wizara...
hujui ulinenalo, kurasini waliyo kata rufaa ni mivinjeni, wapo wengine wa shimo la UDONGO na hawajakata hiyo rufaa.
pia SHULE UNAENDA KUELIMIKA,AKILI NA ELIMU ni vitu viwili tofauti, unaweza ukawa na madegree yako ya ELIMU lakini huna AKILI na unaweza ukawa hujaenda shule huna ELIMU ila AKILI...
mimi ni muathirika wa kurasini na ninajua niongealo. Unapo mwekea mtu X nini maana yake? Watungaji wa sheria ya kusema unabidi ulipwe ndani miezi 6 ni bunge, na anayeidhinisha hela zilipwe ni bunge hilohilo. Unajua madhara ya kumwekea mtu X? Mtu huyu anakuwa hakopesheki kwa bank wala saccos...
Kwani walioahidi kuwalipa wananchi wa kigamboni toka 2006 na hawajalipwa mpaka leo ni serikali nyingine ama hii? na walioahidi kulipa wananchi wa kurasini mwaka 2011 mpaka leo hawajalipwa ni serikali nyingine ama hii? kama waliweza kuwalaghai hao na wengine iweje sisi washindwe? kwanza hela...
Yaani mita zaidi ya 2000, hizo hizo kilomita 2. Ndio maana wananchi wametaharuki. Huenda kuna wajanja wanataka hilo eneo wakapitia mgongo wa barabara WAKIJUA fika baada ya barabara kupita hilo eneo litakuwa la thamani sana.
ilishawahi kutokea eneo Fulani wananchi waliambiwa wapishe mradi wa...
Tatizo sio barabara kupita, tatizo kubwa ni uhuni uliojificha nyuma ya mradi wa barabara, walisema barabara itakuwa na upana wa mita 75 mpaka 90, lakini upanawanochuku sasa ni zaidi ya mita 2000, je ilo eneo lote ni barabara tu? kwa nini wawadanganye wananchi kupitia mgongo wa barabara? nani...
Duh! hii kali, kweli kuna raha ukiwa kwako, hata kama ni chumba kimoja hakuna wakukugongea alfajiri ukadeki choo, kisa zamu yako lzm uamke saa 11 kabla mwenye nyumba haja amka.
Sina uhakika, ila ukifika ukapata binti kuna mkataba mnajaza, wewe, binti na huyo wakala, pia anatakiwa kuwa na wadhamini wawili ambapo wewe itabidi uwajue wanapokaa ilikujiridhisha. Pia ukipata nakala ya kitambulisho chake.
Watu wanatofautiana uwezo, mwingine anatamani japo apate sehemu ya chumba na sebule, mwingine anataka vyumba vitatu, mwingine vyumba vitano na maghorofa, sasa wewe ambaye unaona ni kidogo kwako nunua zaidi ya kimoja upate ukubwa unaotaka, nayule ambaye anaona panamfaa atanunua kimoja, hili ni...
Mwaka jana mwanzoni serikali ilikuja kwa bwebwe nyingi na kufanikiwa kutulaghai wakazi wa kurasini shimo la udongo kuwa fedha zipo tayari ni uthamini tu ndio unaosubiriwa, uki amaliziklatu kila mtu anachukua chake na kuondoka, wakadai mwisho ni December, January shimo la udongo yote anatakiwa...
Hutajutia kabisa kuviona viwanja hivyo, vimebaki vichache tu kwa ajili yako, ni km 16 tu kutoka city center. Hakunaga foleni ya kupasua kichwa huku, maji yanapatikana kwa urahisi sana kwani hakunaga miamba migumu, hakuna milima wala mabonde kuko level ujenzi wake rahisi sana.
Huta park gari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.