Kama alivyochangia mkuu ni vizuri ukatumia forward company ili kupata vitu kwa bei rahisi mimi huwa natumia planet express bei zao nzuri https://planetexpress.com/?ref=153776
Mkuu Einsten mimi nikushukuru sana kwa kutoa maelezo mazuri uliyoyaongea nakuunga mkono kwa asilimia 100% shida ninayoiyona baadhi yetu tuna mawazo hasi sana nilitoa huu uzi kwa lengo la kusaidia wanajamvi lakn baadhi wamekuwa wakitoa mawazo hasi bila ya kufanya utafiti na wengi wetu tunamawazo...
Ulichokiandika si kweli bwana mdogo nimeshanunua simu mara nyingi tu ebay, ni kweli hiyo ni bei ya BID PRICE lakini naona hauelewi maana ya BID PRICE kama unaelewa maana ya BID PRICE basi nasikitika kuwa macho yako yameanza kufa ukiwa bado kijana mdogo, Angalia vizuri picha hiyo utaona kuwa hiyo...
Siyo lazima utumie forwading company kuna agent wanaotuma vitu moja kwa moja kutoka USA na UK tena kwa bei nafuu tu, i can prove it to you, pia usidanganye umma kuwa vitu vya marekani ni ghali kuliko huku bongo sababu hata vinavyouzwa huku bongo vinatoka hukohuko majuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.