nashukuruni kwa ushauri wenu pia green marwa kwa kunikumbusha kuhusu chembe ya moyo na tumbo kuwaka moto kweli hivyo vinanitokea napata maumivu makali mno.
habari zenu wana jf shida yangu kubwa ni kwamba nina siku tatu kila nikila chakula si asubuhi nikinywa chai au mchana pia hata usiku napata maumivu makali ya tumbo pia linavuruga sana na kuunguruma naombeni msaada wenu madoctor nijue tatizo langu hospital bado sijaenda kwasababu nipo mbali na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.