Search results

  1. S

    Usiku wa mashetani

    duu malizia tu.
  2. S

    Nyuma ya pazia na taswira

    jaman ni m2 kweli au katuni.
  3. S

    Viatu atakavyo vyaa Michelle Obama siku ya kuapishwa

    jamani kiukweli vinanishangaza.
  4. S

    Madaktari wa apollo wanaanzia huku?

    duuu sijawahi kuona hivi kweli ni treni au.
  5. S

    Hizi ndizo Picha za RayC Alivyoathiriwa na Madawa ya Kulevya-Inatia Huruma

    jaman inasikitisha sana daaaa pole sana mamaake.
  6. S

    Ya Mbagala Na Bedui Aliyekojoa Msikitini...

    duuu ni kweli wawe na burara, pia kwanini waislam baathi ni wastaarabu wengine ni wachoze wa vurugu.
  7. S

    Mahojiano ya polisi na Sheikh Ponda Issa Ponda

    haki itendeke tu kwa kila sehemu.
  8. S

    Jopo la Maaskofu lakutana Mbagala, latoa tamko zito

    ni kweli msamaha ni kinga kabisa na roho zinakua na aman.
  9. S

    Kitovu kuvuta wakati una mimba

    pole dada wahi tu kituo cha afya wakakufanyie uchunguzi zaidi nazani utajua tatizo.
  10. S

    nikila tu napata maumivu ya tumbo

    nashukuruni kwa ushauri wenu pia green marwa kwa kunikumbusha kuhusu chembe ya moyo na tumbo kuwaka moto kweli hivyo vinanitokea napata maumivu makali mno.
  11. S

    nikila tu napata maumivu ya tumbo

    habari zenu wana jf shida yangu kubwa ni kwamba nina siku tatu kila nikila chakula si asubuhi nikinywa chai au mchana pia hata usiku napata maumivu makali ya tumbo pia linavuruga sana na kuunguruma naombeni msaada wenu madoctor nijue tatizo langu hospital bado sijaenda kwasababu nipo mbali na...
Back
Top Bottom