Naandika makala hii kwa masikitiko makubwa sana maana rais wetu anahaha kila siku kuhakikisha nchi yetu inakuwa ya viwanda. Akifanikiwa itasaidia kutuweka huru na hizi bidhaa dhaifu toka nje ya nchi.
Mfano nimenunua maziwa ya unga ya Lato ambayo yanaonyesha yametengenezwa 2016 na kwenye kopo...
Kuna wanamuziki ambao wamefanya mambo makubwa sana katika fani ya muziki hapa Tanzania na pengine Africa na hata duniani. Hata hivyo hawajapata kutambulika kulingana na mchango wao sawasawa. Uzi huu una lengo la kuwatambua na kuwapa saluti yao. Naanzia hapa na wewe ongezea!
Dyna Nyange
Grace...
Dar es salaam ndo sehemu pekee hapa Tanzania ambayo kila mtu anatozwa kodi kulingana na utashi wa afisa kodi wa TRA. Hakuna standard ya kutoza kodi ambayo inatoa usawa kwa walipaji.
Si ajabu ukawa na ghorofa ya 800m mbezi au Masaki ukalipa 50,000 kama maelekezo ya bunge yaliyo na mwenzio akawa...
Ndugu wanajamvi,
Natafuta flatbed trailer used ambayo ipo Dar es salaam. Maelezo ya ziada;
Flatbed trailer used au mtumba
Air suspension BPW axles
40 ft
Super single tyre
Iwe used ya Ulaya au hata za Uturuki zilizotumika nje au hapa Tanzania
Iwe tayari imeshafanyiwa matengenezo au bado vyote...
Kwanza kabisa nitangulie kusema uzi huu si wa kupingana wala kui-challenge serikali yangu bali kuibua mjadala ambao utatusaidia kusimamia vema rasilimali za taifa. Sasa naomba kuanzia hapa;
Hostel za UDSM
Naambiwa yapo majengo 20 kila jengo lina ghorofa 4 na gharama yake ni 10bn
Ukichukua...
Nahitaji trela la uturuki ambalo halijapata ajali tairi Supa singo na lisiwe limechoka sana. Malipo 100% baada ya makubaliano. Kwa yeyote ambaye yupo siriaz tuwasiliane PM.
Kuna hadithi moja nzuri ambayo bibi wengi huwasimulia wajukuu wao...... shetani anakuja kwako akiwa mdogo kweli kweli, unamfuga chumbani kwako anaanza kukua na kuwa mkubwa sana anajaa chumbani hata kinapasuka na vingine na vingine na mwisho anapasua nyumba yako.....clouds media wamekuwa...
Namjua mh. Mwigulu ambaye ni waziri wa mambo ya ndani. Kwa kuwa nilisoma nae miaka 3 pale UDSM wakati huo akiwa hana hata alama ya uoga usoni naamini anaweza hasa pale askari wake wanachukuliwa kutenda ualifu sasa je Mwigulu huyu yupo nchi gani kwa sasa? Je yeye hajipendi? Naomba tuwe waungwana...
Kwa wauzaji wa nguo hasa singlet au VEST kwenye kola zimeandikwa CNT rangi iwe nyeupe zinahitajika size M. Nahitaji 12pcs. Niambie unapatikana wapi nakuja mwenyewe. Unaweza kunielekeza hapa hapa jukeaani au njoo Pam. Ona picha hapa chini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.