Habar za jion wakuu, nimekuwa nikipata tabu sana katika kucheza video na audio nnazo tumiwa kupitia WhatsApp,hii inatokana na simu nnayo tumia, Iphone. Je hakuna application nayo weza ku Install ili niwe nna play nyimbo bila kuingia whatsapp katika chat niliyo tumiwa file hilo?
Msaada tutani
KARIBU FUNDI NOW.COM KWA MAHITAJI YAKO MBALI MBALI
FUNDINOW INA KUUNGANISHA NA MAFUNDI MBALI MBALI WAZURI WALIO PENDEKEZWA ILI KUKIDHI MAHITAJI YAKO. JE UNA HITAJI FUNDI BOMBA? FUNDI SEREMALA? FUNDI UMEME? FUNDI WA MASHINE ZA KUFUA? FUNDI WA GESI? FUNDI WA KUFUNGA NA KUREKEBISHA DISH...
Habari wana Jf, naomba msaada wa hili, nna hitaji mafundi wazuri wa gesi, vifaa umeme na fundi mzuri wa mashine za gym. kwa yoyote anae mjua fundi kati ya hawa naomba anisaidie jina na namba yake hapa chini. Au anipm ita kuwa vizuri. Wana hitajika haraka
Habari wana forum wenzangu kuna ndugu yangu ametuma maombi ya kazi sehemu na ametakiwa kutuma CPSJT test. hajui wapi anaweza kupata huduma hii na kwa ufupi tu umuhimu wa CPSJT ivo msaada una hitajika.
NAWASILISHA
Kuna mkakati umeandaliwa na kambi ya bwana edward dhidi ya wanafunzi wa elimu ya juu VYUONI.
Mkakati huo ni kuandaa vikundi maalumu kwa ajiri ya kuteka kundi la wanafunzi vyuoni.
Kwa vyovyotr vile hapa pesa ita tumika.
My take kwa wana funzi wa vyuo, nyie ni wasomi mna tegemewa na nchi yetu...
Mkuuu unasikitisha
Nini kazi ya jukwaa ka sheria?? Kuulizia kesi zilizo pita ama kuomba ushauri wa kisheria?? Hapana, nadhan lengo hapa ni kujifunza, ndio maaana kuna kuuliza swali na kutoa majibu kama upo interested. Sio lazima ujibu kama hauko interested.
Google ipo, hakuna asie jua, il wakat...
Mkuu wangu ASIKARI ukweli ni kwamba mahitaji ya wanasheria katika taasisi mbali mbali ni madogo sana ukilinganisha na wingi wao unaosababishwa na wingi wa vyuo vinavyozalisha wataalamu wasekta ya sheria.
Mkuu safi sana
Sasa kwann wanasheria wazamani sio wakali kama wa sasa??
Mkuu nadhani vitu vinavo changia uwaone wa kawaida ni hivi
1 kuongezeka kwa wingu wa vyuo vinatoa degree ya sheria na hivo wahitimu kuwa wengi mtaaani.
2 ukosefu wa ajira naa kujuana..kunakofanya wahitimu wengi kuwa mtaani na hivo kufanya LL.B holder awe sawa na Bd.E make wapo hawana kazi.
3...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.