Kwa matumizi hayo usilalamike mkuu. Kuna jamaa ana freezer mpya ya Boss lita 150 imeandikwa 98watts lakini masaa 24 inatwanga unit 2na vipoint sembuse hivyo vifaa vyako mkuu. Ridhika mkuu au tafuta bidhaa za energy saver (siyo kampuni ila ni power rating yake ya ulaji umeme)
Sent from my...
Shida nyingine ilyopo ni coverage yao, utalazimika kusafiri ili kuwaendea na kitambulisho chako. Kobe akiinama anatunga sheria. Wakati mwingine huwa naona huruma labda bado wanachekecha akili jinsi ya kuendesha biashara yao. Huenda pia hawakufanya tathmini kabla ya kuchukua mkopo.
Sent from my...
Hata mimi kuna siku niliona hicho kitu nikajisemea moyoni kwamba mbona ni rahisi sana kuibiwa kama mtu akijua kuwa una mzigo huko?
Sent from my cupboard using mug
Kuna tofauti kati ya kusaini kwamba umepokea mzigo na kuconfirm kwamba umepokea. Kusaini hakuhitaji logins ila kuconfirm lazima account yako ihusike kupitia wewe.
Hii Biblia kiukweli ni nzuri ila tatizo lake kuna baadhi ya aya zinamiss yaani hazimo na nafikiri hii ilikuwa tatizo la kiuandishi, labda wakati wa kukopy na kupaste aya zingine zikawa zinamiss. Na kama developer hajang'amua hilo tatizo hatalifix yeye ataendelea kuboresha vitu vingine mpaka pale...
Enable data saver kwenye simu yako au disable background data usage, na kama ni kuangalia video za youtube, ukishaplay video angalia hapo kwenye video kuna playback settings, uchague quality ya chini kila unapotaka kuwach video maana ukishaiseti kuna wakati inarudi tena kwenye quality ya juu...
Miaka 50 ijayo kama bado dunia itakuwa ingali salama, wanadamu watashuhudia technology ya ajabu sana.
Na hata kizazi cha kipindi hicho wataicheka sana hii tech tunayoishangaa sasa hivi.
“Lakini wewe, Ee Danielii, yafunge maneno haya, ukakitie muhuri kitabu, hata wakati wa mwisho; wengi...
Mleta mada naomba nikushauri kitu.
Biashara yako ni nzuri cha muhimu hapo nakushauri endapo utaweza kudecrypt file zako basi wekea PC yako "Dual OS" (Windows na Linux distro yoyote) maana Linux haiko targeted sana na watengeneza virusi kama ilivyo kwa Windows. Nikimaanisha kwamba pale...
Du na ndo nimemaliza kulidownload kwenye Mx-Linux yangu kumbe kimeo. Ninacholipendea lina heap size kubwa unapodownload file kubwa kutoka kule Mega.
Sent from my cupboard using mug
Nashangaa kwa nini AE wanaruhusu ujinga kama huo kwenye mtandao wao pamoja na kwamba vitu feki vimo lakini hawa sasa wamezidi.
Sent from my cupboard using mug
Hiyo Store naona ni maalum kwa ajili ya bidhaa feki.
TZS 225,240.99 50%OFF | Xioami M11 Ultra 16GB+1TB Smartphone Android 6800mah Qualcomm Snapdragon 888 4G/5G Dual Card Unlocked Mbile phones Cell Phones
https://a.aliexpress.com/_mLoT1Lu
Sent from my cupboard using mug
Hata siijui mkuu, ndo maana nikasema mtu akienda kichwakichwa atapigwa tu.
Hizo specs zenyewe mpagawisho hatari, zuzu lazima azuzuke.
Sent from my cupboard using mug
TZS 220,489.37 50%OFF | 7.3 inch HAUWEI P50 PRO Smartphone 5G 16GB+1TB 6800mAh 64MP Camera Unlocked Mobile Phones Telefon Celulares Cellphones
https://a.aliexpress.com/_mLCLzeW
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.