kalagha bao ulitakaje sasa?unadhani watu jamii hatujuani?identity yangu humu ni gold ila sikupenda kujulikana na ukweli ndio huo we angalia lini nimejoin na sio ujumbe ila ukweli ntauweka wazi nakamilisha tu leo watamwamishia wapi niwajuze kwa majina ya wote wana mtandao wa uamsho huku...
Kwa taarifa za uhakika nilizozipata kutoka kwa ndugu yangu wa karibu anayeishi zanzibar ni kwamba tukio la kutoonekana kwa kiongozi huyo wanayedai katekwa ni kwamba ni mpango maalum wa viongozi wa kikundi hicho kuwa wamfiche ili wapate kisingizio cha kufanya uharibifu zanzibar..na kikao hicho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.