Kweli tulihitaji madiliko ndani ya UVCCM, Kwa uteuzi wa ndugu SIMON MATHIAS KIPALA ni zaidi mageuzi makubwa tunatarajia kuyaona UVCCM.
Chama Cha Mapinduzi ni chama imara na sikivu ndiyo maana watanzania wanazidi kukiunga mkono. Jitiada kubwa za mwenyekiti wetu ndugu JPM kuzidi kukiimarisha...
Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni Cha Kongwe Afrika na Dunia huwezi kukitofautisha na chama kama Communist Party of China(CPC) na African National Congress(ANC) cha Aftica Kusini. Pamoja na ukongwe kwa umri ni chama chenye historia ya kusimamia maamuzi magumu na yenye tija kwa Taifa.
Chama Cha...
Jamani nashangaa sana kuona CHADEMA kutumia nguvu nyingi kukizushia chama ACT kwa watanzania
1-Kutapatapa kwa Chadema ni dhaili sasa wanaporomoka kisiasa wanatumia nguvu kubwa kuzusha uzushi usio na maana kwa ACt.
2-Ajenda ilikuwa katiba kujisakia umaarufu kupitia UKAWA wameona wananchi...
Katibu mkuu wa CCM A.KINANA leo amehutubia mkutano wa hadhara huku akiwaambia wananchi kuwapuuza viongozi waCDM
.Umati mkubwa wahudhuria huku wakiwa na nyuso za tabasamu na imani kubwa kwa KINANA. KINANA awaambia kupuuza kauli viongozi wa CDM kwani wanaweweseka na uroho wa madaraka...
Mimi ni mkazi wa kudumu wa KILOSA sasa leo nimeona kichwa cha habari cha gazeti hili kuwa KINANA na NAPE wamezomewa RUAHA huu UZUSHI na UONGO USIO NA TIJA KWA TAIFA
.Watu waliouzulia kwenye mkutano wa hadhara walikuwa wengi kupita kiasi cha kwamba haijawahi kutokea na watu waliuliza...
only83..ukiona mtu anakimbilia elimu hujue ana upeo mdogo wa kutafari jambo na inaonyesha dhairi ubongo umelala jibu hoja sio elimu yako ambayo imsiidii mtu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.