Hivi pemba na Unguja zilungana lini? tukishamaliza kujitoa ktk muungano tutaanza kuhoji watu wa pemba na unguja waliungana lini? baada ya hapo wapemba watataka kujitenga kutoka unguja maana wanadai wananyanyaswa sana.Wakishajitoa then tutawageukia waarabu na kuwahoji lini wamekuwa waafrica,hasa...
Tanganyika na Zanzibar hazijawahi kuwa nchi tofauti toka Dunia ianzishwe,hizi sehemu zimekuwa nchi moja toka zama hizo! tumetengenishwa na maji tuu na harakati za maisha kwa maana watu wengi wanaoishi zenjibar zamani walikuwa wanatoka tanganyika,labda useme wanataka kujitenga tuuu
othuman kijana unawaza nini kichwani mwako au umepeleka likizo thinking capacity yako!! Watu tunawaza namna ya kulipeleka mbele hili taifa wewe sijui unawaza nini maskini!!
Habarini wandugu, baada ya kuona uhaba na uhitaji mkubwa sana wa vitabu vya sheria kwa kiswahili niliamua kujificha kwa mda ili nije na kitabu kitakachokuwa kimesheheni madini mbalimbali kuhusu sheria!
Hivyo basi nmekuja na kitabu kinachoitwa ulimwengu wa sheria na haki kikiwa kimesheheni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.