Street knowledge.....nimeipenda ya Motivation Speaker’s na nukuu zao ‘Mwaka 1820 Robert Heriel alisema.....’ wakati enzi hizo hata biashara haikuwa kama leo!!!
Mimi nilikuwa muajiriwa lakini hata kabla ajira kuisha (ajira za mkataba) nikajiuliza na nikatafuta majibu nikapata, nikaanza mdogo mdogo kufanya shughuli za kujiajiri
Mpaka ajira ilipoisha rasmi nilikuwa tayari nina sehemu ya kuanzia... Tatizo la waajiriwa wengi wao wanajisahau. Matumizi...
Ni kweli hasa Kibonde huwa anaharibu sana nafikiri hata watangazaji wenzake wanajua lakini hawamwambii kuwa sometimes anaconclude pumba tupu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.