for local contact and more details please call the following numbers
+255784410223 - Patricia
+25578082424 - Office
You can register online on this link: Esri Eastern Africa User Conference – Working GIS Solutions
Necta mnakera nyie, nilishamchukia mtt wangu sana kwa kutopata high max. baada ya kujinyima na kumpelekea mission sec xul. wakampa dv 4. sasa matokeo mpaya wamempa 2. unaweza kuona ni jinsi gani walivokuwa wamenikera kisaikologia? just stupid mistake. na wadogo zake hawatosema Tanzania tena...
Necta mnakera nyie, nilishamchukia mtt wangu sana kwa kutopata high max. baada ya kujinyima na kumpelekea mission sec xul. wakampa dv 4. sasa matokeo mpaya wamempa 2. unaweza kuona ni jinsi gani walivokuwa wamenikera kisaikologia? just stupid mistake. na wadogo zake hawatosema Tanzania tena...
Mimi nataka nijue sheria inasemaje kuhusu makampuni kuajiri foreigners.
Kama jana tumepata habari kampuni ya Sanctuary lodges (iko chini ya Abercombie & kent) kule Swala Camp manager ambaye ni Kaburu kumpiga mfanyakazi hadi kuzirai. Wafanyakazi wote wamegoma kufanya kazi.
Je, serekali uwa...
chama cha mafisadi hakiwezi kamwe kushinda no matter what! Yaani sina hata hamu nacho...no matter what hakitapita tena enough is enough we are fed up! Get ready to hand over the white house to dr!
ALL WE NEED IS CHANGE. ENOUGH IS ENOUGH ITS HIGH TIME NOW FOR CHAMA CHA MAFISADI (ccm) TO PACK AND GO. M4C WILL TAKE OVER. OTHERWISE ITAKUWA KAMA NCHI JIRANI KWA KIBAKI. TUMECHOKA NA UOZO WAO BWANA. THIS PEOPLE ARE NOT SERIOUS. HII NCHI SASA HIVI INA WASOMI NA WANAJUA NINI KIZURI NA NN KIBAYA.
Disulfiram? inapatikana mahospital au? please nisaidieni mdogo wangu anateketea hv hv he is only 29years ila amekuwa kama kichaa hata mpaka anaharibu kazi kwa sababu ya pombe.
hippocratessocrates maana yangu ni kwamba kama kuna tiba za asili na yy aweze kurudi kwake DAr. Dialysis Tanzania nzima ni dar peke yake so amehamia Dar na mpaka awe kwenye Dialysis ni kwamba figo zina shida zote mbili. ndio hawa sbabu yangu ya kuomba msaada kama kuna anejua tiba za kienyeji coz...
1. Kabla ya kula kwa nusu saa unywe maji gilasi moja au mbili au tatu au zaidi na baada ya nusu saa au robo saa:
2. Ule salata sahani kubwa sana sana na inaruhusiwa kula matunda na baada ya kula salata
3. Ule chakula chako kisiwe na mafuta mafuta.
4. Huruhsiwi kabisa wakati wa chakula kunywa...
mimi nadhani njia salama ni immediately unapomaliza kujaamiana na mwenzio, (mwanamke) anaenda kunawa vzr kabisa kwa maji baridi na kunywa walau glass moja ya maji baridi. hio ndio teh best. nimetumia hii njia for 5years sasa am safe mpaka wa leo sijaona tofauti. ni njia ilikuwa ikitumiwa na bibi...
mama yangu anaumwa na sukari huu ni mwaka wa 8 sasa. imebidi ahamie dar sababu ya kuudhurida dialysis after every one day. jamani kuna njia mbadala zaidi ya hapo? ameacha mji wake mwanza for more than 10months now. kuna anaeweza nisaidia hapa wapendwa?
Je kama hataki mkae mjadiliane? utakuta mwanaume wa hv kila siku hakosi sababu! hao wanaume siku hizi ni wengi sana. pole my dia Mazoea hayo. wanaume wengi siku hizi hawana mshipa wa aibu kabisa.
As for me, Lowassa akisema anagombea kwa tkt ya CCM ntampa kura yangu. apart from him bado sijaona. hao wengine wanaitaji kuwa chini ya mtu in order wafanye kazi vzr. zaidi ya hapo ntampa mgombea wa chadema.
mimi nahisi lipo jingine walikuwa wanatafuta chanzo tu hawa jamaa. kwani akikojolea hakuna quran ingine? au akikojolea ndio maadnishi yatapotea? najaribu kutafakari ingekuwa mkristo sidhani kama hata angechukulia hivo zaidi ya kumuombea na kutangaza msamaha hapo hapo! hawa wenzetu kweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.