Naombeni msaada?
Je utt liquid fund ina gawio kwa kila mwezi kwa mwekezaji? Au ni lile ongezeko la thamani ya kipande pekee?.Na kama kuna gawio linaanza kwa mwekezaji aliwekeza kiasi gani cha fedha?
Naombeni msaada?
Je utt liquid fund ina gawio kwa kila mwezi kwa mwekezaji? Au ni lile ongezeko la thamani ya kipande pekee?.Na kama kuna gawio linaanza kwa mwekezaji aliwekeza kiasi gani cha fedha?
ingawaje parimatch app yao sio nzuri sana lkn wanaoptions nyingi na nzuri tu, huko ela bet kuna ela nimeacha huko nikatest kutoa elf 3000 nayo imegoma kufika kwenye Airtel Money yangu. wakati wanajiita 22bet baadae ya hii changamoto watu waliwakimbia wote wakaamua kubadili jina na kiwa helabet...
Mimi nimetoa 230,000 jana usiku mpaka sasa sijapata. hawa ndio walewale 22bet, wananiambia ni subiri mpaka masaa 24 isipofika niandike email kwa wataalam wao. yaan napenda app yao lakini wanachelesha malipo sana. kuna kipindi hela ilikaa kwao mwezi mzima ndio nikaipata. hivyo hawafai parimatch...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.