Ukifika kutoa taarifa ya wizi unaambiwa toa ushirikiano ili usaidiwe tena cha ajabu wanawajua wezi wote wa Tabata Vingnuti hadi Kinyerezi lakini wako kwenye pay roll ya vibaka na hivyo wanataka kula kote kote kwa wezi na kwa aliyeibiwa na kujeruhiwa. Hiki kituo ni bora kifungwe tujiamulie...
Kasinde huku Tabata Kisiwani hali ni mbaya na Polisi wameonekana dhahiri hula na vibaka. Hatuwezi kuishi kwa mazoea ni ujinga kusema vibaka wameshindikana wakati wana Mapanga na Polisi wana Bunduki nasema ni ujinga
Shemeji yangu alivamiwa na vibakamaeneo ya Tabata Kisiwani bonde la mwananchi siku ya Ijumaa tarehe 4 December2015 majira ya saa kumi na mbili jioni ambapo aliporwa fedha pamoja na simu nakujeruhiwa kwa kukatwa na panga sehemu ya shavuni ambapo alishonwa nyuzi tisa.
Shida tunayoipata hivi sasa...
Niko huku jijini Arusha lakini sina uhakika kama kuna wadau wa JF, kama kuna wadau wa JF basi wajitokeze tufahamiane na kubadilishane uzoefu.
Nawasilisha.
Nipo siku nyingi humu nikiwasoma kama mgeni, leo nimeona nijiunge na mimi nipate kuchangia mawili matatu kulingana na uzoefu wangu kwani sasa nina muda wa kutosha baada ya kumaliza majukumu yaliyokuwa yamenitinga.
Naomba mnipokee tafadhalini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.