1. Anauza hivo vitu, ni Agent ukihitaji anakwambia ulipie advance au full ambapo kesho yake au baada ya siku mbili utapata likiwa limekua registered TRA kwa jina lako. Na receipt anakupa.
2. Kituoni nilikutana na watu ambapo mmoja wapo ni diwani wa sasa wa Kongowe na wote tulikua na RB, lakini...
Don’t be deceived na huyu jamaa ni TAPELI
Kwa majina anaitwa Iddi Mtoro Kanyallu
Aliwahi kuwa Diwani wa Kongowe, kupitia CCM (2015-2020)
Na sasa anataka kugombea tena.
Anawatapeli watu wengi maguta, pikipiki na bajaji kwa mwavuli wa kwamba ni mwanasiasa na mfanyabiashara anayemiliki frame...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.