Tufike mahali tuwe na uwezo wa kujiongeza mi nadhani uraisi ni zaidi ya kusimama na kutetea unachokiamini.. naungana na mleta hoja ya kwanini Lowassa anaeza mgaragaza mpinzani wake.. hii itakuwa inakuwa kama mazoezi ya mpira kati ya mabeki(ccm) na washambuliaji (ukawa).. mmoja atakuwa...
Watu wanatumia nguvu nyingi kuonyesha ujinga wao..Nilitegemea mtu kukosoa alichokileta mleta mada kama ni kweli na kama sio kweli aseme wapi si kweli..Ila nachoona ni personal attacks.. So far Uzi umetulia
Kimsingi na kwa mtazamo wangu naona wapo sahihi ila waangalie je wamefanya uamuzi sahihi ambao hauta hathiri career yao ya uigizaji..Pili je wamefanya kwa nia ya dhati au wanataka kuwafurahisha wachache kwa malengo yao binafsi.....
My take..Binadamu tupo tofauti kiitikadi kwa hiyo kuna watu...
Sasa hapa naona watu wanaongozwa na political feelings na vijichuki visivyo na msingi....kama sikosei ukisoma posti vizuri mleta mada kasema wakipewa ridhaa wataanza shughuli ya kuigeuza Tanzania kuwa nchi ya viwanda na si ndani ya mwaka mmoja Tanzania Itakuwa nchi ya viwanda....Mbona kiswahili...
Ikisoma between lines utagundua unafiki wa huyu jamaa haujapungua hata tone...kwa iyo anaposema si kila chama cha upinzani ni kibaya anarefer vyama gani?!hapo hapo kwa upande wa pili anaiaminisha jamii kuwa kuna vyama vya upinzani ambavyo ni vibaya...huyu jamaa ni majanga.
Ikisoma between lines utagundua unafiki wa huyu jamaa haujapungua hata tone...kwa iyo anaposema si kila chama cha upinzani ni kibaya anarefer vyama gani?!hapo hapo kwa upande wa pili anaiaminisha jamii kuwa kuna vyama vya upinzani ambavyo ni vibaya...huyu jamaa ni majanga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.