Search results

  1. N

    Mwanamke: Usafi wa 'maakuli' muhimu, sio vizuri kukutana na mtu ananuka sehemu za siri

    Hilo tatizo nikweli lipo kwa baadhi ya madada,la msingi ukikutana na hali hiyo ni kumshauri mwenza /mpenzi wako akamuone doctor.
  2. N

    Kinga ya bunge dhidi ya mh:Pinda

    Kipigo noma ,hao sugu2 watatuvunja viuno make watakutaimu hujajiandaa na uzazi utapotea,bosi wao kama hataki kuomba msamaha apelekwe tu mahakamani, haki itapatikana huko na kinga yake itaonekana huko.
  3. N

    Mufti Simba angaka - Azuia misikiti kubeba wanasiasa

    Mbio hizo za 2015,wananchi kuweni macho mtahahidiwa mambo makubwa mazuri,manono ndani ya sikuwa 7,akisha kalia hicho kiti ,thubutu utakiona cha moto.
  4. N

    Pigo jingine kwa JK: Mzee Mwinyi apigilia msumari suala la kuchinja

    Hakika,huyu mzee hakubahatisha kuwa RAIS
  5. N

    Hali ya Wilfred Lwakatare yazidi Kudorora

    Kama ni kweli ananyimwa haki ya matibabu,binadamu wa sasa hivi siyo mjinga kama wanavyofikiria.
  6. N

    Zitto Kabwe mwenyekiti mpya kamati ya PAC

    Tunakutakia kazi njema,usimamie rasilimali zetu ili tuweze kuondokana na huu wimbo wa umasikini tunaopandikizwa sisi watz wakati sio.
  7. N

    KIBANDA: Nilisikia akimwambia Mwenzake AFANDE 'mshuti... mshuti'

    Jamani wa TZ hii hali ya kuwindana kama wanyama itatufikisha wapi?.Inaumiza sana ila hao waviziaji wajue tu kwamba hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.
  8. N

    laana yawakumba maccm meatu yatandikwa na nyuki

    Hongera sana nyuki kwa kazi nzuri ya kuwakomesha mafisadi,maana wamezidi kila kona.
  9. N

    Mzimu wa CHADEMA bado wamuandama Kikwete, amethitisha kwa kauli zake leo hii

    Damu ya mtu haichezewi,ukiichezee itakuadama tu,RIP mtetezi wa wanyonge kwa njia ya karamu mr Mwagosi.
  10. N

    Mzimu wa CHADEMA bado wamuandama Kikwete, amethitisha kwa kauli zake leo hii

    Nimecheka mpaka nahisi ubavu wangu umetenguka.
  11. N

    Mishahara serikalini!!

    Wewe ungesema kwamba unahitaji upate data za mishara na siyo kuogopea wana Jm kwa takwimu za kumbumba,inakuwa haijatulie.
  12. N

    Mnyika amlilia Odira Ongara

    Mungu ameto,na amempenda zaidi,ampumuzike kwa amani mzee wetu Ongara,amina
  13. N

    Kashfa ya kutisha jeshi la Polisi

    Polisi ni mhimili mmojawapo wa kupambana na rushwa ,hivi kweli wa Jm hawa jamaa wanastahili hiyo sifa?,hii kweli inatisha.
  14. N

    Bernard Membe Kumburuza Kortini Hussein Bashe: AK-47 Vs Mawe!

    Achana kutuhangaisha na mambo yako ya kishambi, nenda huko na wewe ukawe mashahidi wa membe wako kwa vile ulikuwepo,akishida 2015 utakabiziwa wizari ya ushabiki.
  15. N

    Elections 2015 Mgombea Urais CCM 2015: Ni Bernard Membe au January Makamba

    Sidhani kama ni rahisirahisi ccm kupata 50% kwa uchaguzi wa 2015 kulingana na hali ya maisha ilivyo sasa kwa wananchi[kiuchumi] na kijamii. Wao wateuane tu ila siku itafika,tanzania ya leo sio kama ya enzi hizo,Ukiwaimbia,ukiwanyanyasa na ukiwagandamiza watanzania, wanajua.Watakemea,wataonya na...
  16. N

    Nyimbo: CHADEMA na Polisi walishirikiana mauaji ya Daudi Mwangosi

    Huyo mzee aache tabia za kuwa ,anapotezea waandishi wa habari muda wao,kwa kuongea utumbo,hatutaki kudanganywa kama watoto kwa vitu vilivyo wasi,kama avuta bangi basi aiache make inapeleka pabaya.
  17. N

    UVCCM kwachafuka

    Acha mkome magamba mnaolalamika,wembe ni huo huo mpaka siku mtakapojitambua.
  18. N

    Walimu watoboa siri mahusiano mwenzao, RPC Barlow

    Nyie walimu acheni hizo lolongo na kurefusha midomo eti mwezetu ni msafi, akazijibu huko huko.
  19. N

    Padre asema tumuombee rpc wa mwanza

    Kila binadamu anamapungufu yake,maana hakuna aliye mkamilifu,mwenzetu anapomaliza kazi yake hapa dunia,ni vyema kumpata heshima yake ya mwisho bila kujali ni mabaya au mazuri mangapi ameyafanya
Back
Top Bottom