acount sina,sina asset yoyote zaidi ya moyo wa kupenda na huruma,assets nk ni vya kupita na tutaviacha ila moyo wa upendo na penzi la kweli nitakufa nalo
Waungwana mi ni kijana wa kitanzania,umri wangu ni miaka 32,nina kaz inayonipa kipato cha kawaida tu,nipo sirious kwa alie tayari basi ani pm then tujue la kufanya,karibun sana.
kama kuna mtu atabisha na ana uhusiano nae akamuulize,wakati yupo CDA aliwahi kusafirisha vitu vyote vya ujenz kuanzia cement hadi madirisha usiku kwa gari na dereva ya CDA,kupeleka shinyanga,alimtesa sana yule dereva! ufisadi wa miaka hiyo!
ifike mahali wanasiasa na ninyi wafuas wa vyama vya siasa mjue kuwa sio kila mtanzania ni shabik wa siasa,damu arusha imemwagika ni vibaya sana,tanzania sio chadema tanzania ni tanzania.TAFAKARI!
Kijana wa kitz hapa,natafuta mwanamke awe mpenzi wangu na baadae awe mke wangu,umri wangu ni miaka 29,umri wa nimtakae ni kuanzia 18 hadi 40,nina mtoto mmoja wa miaka 7,dini yoyote mradi tuelewane tu,nipo sirious jaman alie tayari anicheck ktk allysufiani2013@yahoo.com au 0764783023!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.