ni gazeti la mwanahalisi...siyo mtoa maada
unachosema kina mantiki, hakuna haja ya habari hizi kuwekwa gazetini, cha ajabu mwanahalisi lina bifu na zito, mwanahalisi ni hao wa koo za akina mbowe!
maumivu ya kichwa yanaanza taratibu...kule kwetu pemba wanasema ''umetokota baba'' chuki hazijengi...aibu hii mkuu, kimbia thread...vyombo vyote vya habari vimeandika zuio la mahakama kuu...what the fck are you writing here? we can not buy your holy shit craps of yours......Lema we!
citizen...
unawashwa??
Court blocks Kafulila expulsion from NCCR Send to a friend
Tuesday, 27 December 2011 22:03
digg
By The Citizen Reporter
Dar es Salaam. The embattled NCCR-Mageuzis Kigoma South MP, Mr David Kafulila, won a political reprieve yesterday after the High Court temporarily...
Acha kuanika ujinga wako mkuu!
wewe lini umewahi kwenda 'kuhiji' ?
nyerere sio dini, sio mtume, sio mtakatifu, ni mtu kama ww na mimi! he wasa a man who did what is the best in this planet,
Steve jobs, isaac netwon, galileo, edson, they all did what is man supposed to do in this...
Ni mwendo wa masaa mawili kutoka mbeya mjini, barabara is fairly good, ispokuwa kuna kona kali za hapa na pale ambazo ni kuwa mwangalifu nazo.
Ukiwa unaelekea chunya upande wako wa kushoto utaoba bonde zuri sana la usangu ( belong to rift valley). Kuna ukungu kidogo nyakati hizi
Ukifika...
Dada wa kwanza kutoka kushoto ni kama muhaya vile, wa pili ni kama mchanga wa rombo, wa tatu ni either mpare au dada wa kitanga, lakini kuna sauti inaniambia ni kama dada wa iringa vile, wa mwisho wala sijiulizi sana lazima mpogoro huyo..
yaani nimehisi tu!
Tangu lini wewe ni chadema?
lini chadema walikaa chini na kukubaliana kuwa..mtu hawezi kusema kitu wala kujibu chochote mpaka afuate utaratibu! si afadhali sana aliyeulizwa kwa nini Tanzania
haiendelei akasema hata yeye anashangaa!
1. Ulizungumza nao wewe kama nani?
2. Je uliwajuaje kuwa ni TISS
3. Wote 15 walikupa majibu yanayofanana na walikubali kuwa wamefanya hiyo kazi, kwa insurance gani uliyowapa walikuaminije? are you boss at TISS and your subordinate have done this? who are you???
[
1. what was your...
grow up??
huoni unavyorukaruka na kutapatapa? una ushahidi wa Lowassa kuwa fisadi, nani wa kumpeleka mahakamani? JK kama rais anafanya nini kuhusu hili?
mimi siyo CDM mkuu naona unachanganya mafuta na maji, I have never liked CDM but I always hate CCM!
Wewe ni CCM hata useme nini, hoja...
Looser!
aliyesema ni zito ambaye ni chadema, akisema slaa au mbowe watasema majina yao pia japo ni chadema. wangesema chadema imesema?? nani sasa ndani ya chadema?
unajua imefikia muda huyu jamaa mmemlaani kwa mambo mengi na kumtishia mengi ya future yake......'hali si kama anvyodhani'...
Guys nyie ndio ambao huwa mnaharibu credibility zenu, post zenu zote hazina hoja, hazina ujazo wala haziwezi kumsaidia mtu yeyote zaidi ya majungua ambayo unajua yanapikwa na wajinga fulani fulani hivi
1. Nani kaitisha mdahalo?
2,. Je walimualika Zito au alijialika?
3. Je walialika chadema...
Mnafiki! huwezi kumtenganisha JK na Lowassa hata kidogo, kukubali kuwa wewe ni CCM na kuwagawa hawa wasafi na hawa wachafu...hutafiki mbali
hakuna msafi CCM si wewe si bosi wako Membe na mjomba wako Kikwete!
Aibu!!!
Sio wakware, tumekuwa wepesi kulaumu matatizo yanayoonekana ambayo chanzo chake huwa hakionekani na wengi hawapendelei kusema. Mtu tangu utotoni kazoe kamchezo ka kuwa na wanawake wengi, leo akitaka kuoa atatakiwa kulipa mafungu ya kumi tu, akifunga ndoa huo mchezo wa zamani anaacha kwa...
kwa hiyo unamaanisha ndoa ni sex? na ukioa ukamkuta mkeo au mmeo hakuna ile kitu ndo mnaachana? au akipata ajali akawa functionless ndio ndoa inavunjika?
au unamaanisha wasiokuwa na ndoa ni sawa kwenda kwenye madanguro na kuchukua malaya? huyo Mungu anayeruhusu haya na kukataza yale ni yupi...
kwa hiyo unathibitishwa kuwa chadema haiwezi kuongoza Tanzania! kama wewe raia usiye na nyenzo umeweza kugundua hilo, chadema na intelijinsia hayo hawayajuia hayo?
mpango ni upi, wabebe maji watembee nayo? how!!!
you must be lying!
do i need to say more? kuhani huyu yuko wapi? GT? kishoka, where is this gentlemen? hawa watu wa design ya akina mwanakijiji wanahitajika..kusema ukweli no matter what..ebu niende kwingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.