Duuuuuu tunapoelekea ni kuwa na taifa la wajinga ila mbona wao wanaelimu ya kueleweka na watoto wao wanasoma kunye mashule ya kueleweka embuuuuu hii wizari isitufanyie hivi jamani aua ndy (BRN)
Watanzania tumekuwa tuna chakachua mpaka sehemu zisizo chakachuliwa angalia sasa tumepoteza nguvu ya uma kwauzembe wa watu wa chache kamata huyo mkandarasi tia ndani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.