Huna haja ya kuomba msamaha mkuu. Tatizo ni kuwa uelewa wa watu wengi humu ni wa shule za kikatakata tu. Watu wanataka kutafuniwa hadi madem zao wenyewe.
Nyie watu vipi? Yaani mnataka matawi yaanzishwe kwa gharama za mtu binafsi? Hivi mnajua sheria ya uendeshaji wa vyama vya siasa au mnaongea tu? Chadema ni chama kinachopokea ruzuku kutoka serikalini ambayo ndiyo kisheria inapaswa kufungulia hayo matawi mapya sehemu kama Bukoba vijijini.
Chadema watasubiri sana kuiona ikulu kama mwendo wenyewe ndiyo huu. Yaani makelele meeengi kumbe yote ya chura tu kudadeki. Hivi ukitoa Arusha na Kilimanjaro, ni sehemu gani nyingine ambapo kinafahamika hiki chama?
Viongozi wa Chadema hawana mikakati ya kushinda chaguzi ndogo wale. Wanachojua wao ni kwagombanisha wananchi na serikali yao tu na sidhani kama hiyo ni mbinu nzuri ya kukitoa CCM madarakani. Kama wanataka kushinda urais 2015, waache mambo yao ya chuki dhidi ya serikali halafu waanze kuwavuta...
Hatusemi kuwa degree yake ni ya kushusha kaptura kwasababu yeye siyo kiongozi wa chama kama alivyo Lema. Lema ni kiongozi wa chama kikuu cha upinzani kwahiyo inabidi atueleze ni kitu gani alifanyika kinyume cha maumbo alipokuwa gerezani.
Acha umbwiga wewe. Hapa hatujadili watu wa kawaida tu, tunamjadili naibu waziri mwenye dhamana ya kuongoza wizara ya elimu na mbunge mwenye mipango ya kugombea urais.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.