Duuuh basi sawa,ila ungetuambia hayo maandiko yanayosema hivo,maana mwazo 5:1-2 inaeleza kuhusu siku alipoumbwa mtu yaani ADAMU,Mwanamme na mwanamke waliumbwa cku moja akawaita jina lao adamu.kumbe hapa mwanzo 1:26-27 waliitwa ADAMU
MTI wa mema na mabaya ni lugha ya uandishi ulikuwa unawakilisha UHURU WA KIMAADILI NA KUJITAWALA.Mungu aliuandaa huo mti kama wigo wa mpaka,kama njia ya kuonyesha tofauti kati ya mema na mabaya,kwa maneno mengine tunasema,uchaguzi wa Adam na Hawa haukuwa kati ya kutokujua mema na mabaya bali...
Hiyo katiba wanayotakiwa kuisoma iko wapi?maana kila kata wanapeleka nakala 3000,sasa je kata moja ina watu 3000 tu?si kila mtu atapata hii katiba pendekezwa
Nmesikitikasana makonda kuoewa wilaya ya kinondoni,wilaya yenye mikikimikiki mingi mno hasa ya ardhi ukilinganisha na kichwa cha huyu DC wetu,mimi nasema kama hujabahatika kupewa uongozi katika utawala wa JK basi wewe hutapewa tena milele
Kuna foleni ndefu sana hapa Makongo mpaka bondeni pale sijui inatokana na nini,kwa sababu imefika mahali trafik wameruhusu magari yanayotoka Tegeta kupita barabara tatu, wale waliopita hapo muda huuwatakuwa wameshuhudia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.