Kwa muda mliotumia inaonyesha kulikuwa na shida. Safari kati ya Dom - Dar kwa ndege hiyo hardly ni saa moja. Mimi leo nimesafiri na ATC Bombadier tumetoka saa 4.35 na tumefika dom saa 5.20 asbh means tumetumia dakika 45 kuruka hadi kutua. Wakati mwingine tulitumia dk 40. Kulikuwa na hali ya...
Naomba msaada tafadhali, nimeagiza gari toka Japan. Ni ya mwaka 1999 cc 2000. Total cost hadi hapa ni dola 2960. Naomba kwa anayefahamu, ushuru utafikia kiasi gani. Nimeangalia website ya TRA, lakini hesabu zimenipiga chenga. Naomba msaada nijiandae maana gari inafika next week.
Nawasilisha...
Huwa sitanui/kupita pembeni, lakini pia huwa simpi nafasi aliyetanua kuchomeka mbele yangu, ni tabia mbaya kwa madereva wengi wa dar. Kama una haraka kwa nini usiamke mapema au kuanza safari ya uelekeako mapema iwapo ni mchana.
Kwa ufahamu wangu, majalada yote yanayohusu kesi za mauaji bara na visiwani ni lazima yapite katika ofisi za dpp ambaye anasoma ushahidi uliokusanywa ili kujiridhisha kama unatosha kufungua mashtaka au la hivyo basi watuhumiwa wengi kabla ya tukio hili walishawahi achiliwa kwa utaratibu huu...
Nilimaliza mwaka 2000, niliishi hall 2 1997, wakati huo yalishaanza kudondosha sehemu ya zege iliyotumika kujenga, hali ilikuwa inatisha nafikiri sasa hivi itakuwa mbaya zaidi, kuna umuhimu mkubwa wa kuyafanyia tathimini ya kina kama yanafaa kuendelea kutumiwa kama makazi hasa tukizingatia kuwa...
Duh, poleni sana, vipi imefunguka au bado? Ina nikumbusha last year nilifika mbeya saa 11 arfajiri baada ya kukwama iringa toka saa saba mchana kufuatia lori kufunga barabara inayotengenezwa na mvua kunyesha.
Haiwezekani, ingawa hukutaja benki yako, lakini makato ya mwezi kwa savings account haiwezi zidi elfu kwa mwezi, hata ukiunganisha na makato ya ATM pia hazifiki kiasi hicho, hivyo nenda upeleke malalamiko yako ki maandishi kwenye uongozi wa tawi lako, kama hawatakusaidia tawini na uko dar...
Yaani hawa jamaa wa NHC kwenye hili jengo wamefeli,huwezi kuwa na jengo la ghorofa zaidi ya 10 halafu parking hazizidi hamsini,aliye design nae bure kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.