Kipande Cha Daraja la Nyerere ukitokea Kigamboni Mpaka Ubungo usiku ni shida na tatizo kubwa kwenye msongamano wa magari. Na hakuna jitihada yoyote ya kidharura kuondoa tatizo.
Kipande Cha Mlimani City Usiku kuelekea Mwenge Mataa napo shughuli pevu. Hakuna Cha maana zaidi ya Traffic kushindwa...
Wao waliamini katika kanuni ya "ceteris peribus" kwamba kila kitu kitabaki kama kilivyo (e everything remain constant) yaani watu hawataachana na miamala baada ya kuweka makato maradufu, kwamba watakusanya fedha nyingi kisha watazipeleka huko vijijini walikokusudia.
LAKINI matokeo yake...
Kuna mambo ambayo Serikali na Bunge ambavyo kwa asilimia kubwa kumejaa wanachama wa CCM, yalikosewa na sio mbaya kukubali, kuomba Radhi na kuanza upya. Mfano:
1. Kupitisha sheria ya tozo kubwa za miamala ya simu kwa kisingizio cha makusanyo Bila kufikiria kwamba wengi wataachana na miamala na...
Wasafi Media Group Ltd ndio wamiliki wa Wasafi Radio na Wasafi TV na mmiliki mkuu wa hisa (majority shareholder) ni familia ya Kusaga.
LAKINI,
Wasafi Limited inamiliki wasanii wa muziki Vanny, Lava Lava na Mbosso na wamiliki wakuu wa hisa ni Diamond na Bi Sandra, kama geresha tu, na nyuma ya...
Halafu inaonekana haujaelewa vizuri topic. Ni Wajibu wa VP kumpa updates Rais kwa kazi zote anazotumwa na Rais na anazopaswa kufanya kwa mujibu wa Katiba. Anatakiwa ampe Rais na yeye Rais ikimpendeza atatuhutubia sisi. Matamko yoyote ya VP yasiyozingatia Chain of Command hayapaswi kutamkwa kabisa.
"Atamsaidia Rais kufuatilia Utekelezaji wa Siku hata Siku na hata Mambo ya Muungano "
Vyema kabisa, unapomsaidia Mkuu wako wa Kazi, unatakiwa umpe ripoti. Yeye ndio ataiwasilisha kwa Waliomuajiri, ambapo kwa Rais, Waajiri wake ni sisi wananchi.
Hivyo VP akitumwa kazi na Rais, anatakiwa ampe...
"Atamsaidia Rais kufuatilia Utekelezaji wa Siku hata Siku na hata Mambo ya Muungano "
Vyema kabisa, unapomsaidia Mkuu wako wa Kazi, unatakiwa umpe ripoti. Yeye ndio ataiwasilisha kwa Waliomuajiri, ambapo kwa Rais, Waajiri wake ni sisi wananchi.
Hivyo VP akitumwa kazi na Rais, anatakiwa ampe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.