u cant be serious papason! we huna dogo huko majeshin au hata mjombako, dah sio mzuri kwa jamaa kumalizia hasira zao kwa askari. ninaye ngugu yangu zanzibar ananiambia mabomu yanapigwa kwa wingi jamani tuwaombee wenzetu Mungu awaepushie ingawa pia nasikia mitaa ya magomeni pia ishu ilikuwa...
Dumelang angalia bana, hawa jamaa hawajaanza leo kutapeli kuna watu wengi washalizwa hapa bongo kuna walileta visa hivyo humu na wengine walisimulia magazetini mkuu kuwa makini kwa kila jambo unalopaswa kufanya chini ya jua. majina yako ni rahisi tu kupata siku hizi mambo ya teknolojia kama...
jamani wakuu zangu kwa jambo hili la kutoweka kwa shehe farid ki ukweli humu mjengoni tulijadili kwa makini kwanza kwa nini uamsho wamejificha ndani ya uislamu na wanakuja na mambo ya siasa? angalia madai yao? mwisho tusipuuze AL -SALAM kwani jamaa alikwenda na dereva said, aliachana naye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.