Search results

  1. Chibolo

    Imamu akamatwa kwa tuhuma za uhalifu Geita

    Wameanza tena mambo yao ya ugaidi??
  2. Chibolo

    HAMAS wayakataa mapumziko uchwara ya vita, Ramadhani

    Hivi mbona sioni hamas wakijibu mashambulizi? Naona israel anawabonda tu hata warushi tena roket
  3. Chibolo

    Houth hawana masihara na meli za Israel

    Walikuwemo wangapi
  4. Chibolo

    Rais Hussein Mwinyi: Mzee alitupa wosia akiwa hai mimi niwe msimamizi wa Familia pamoja na kuwa kuna wakubwa zangu

    Hivi kwanini Abdallah wakati anatoa neno la shukrani aliwataja watoto waliokuwa wanaenda zamu kulala na mzee Mzena lakini hakumtaja dr.Husseni?? Binafsi hapo mimi ndo nilianza kupata wasiwasi
  5. Chibolo

    Mageuzi ya uchumi na siasa yaliyofanywa na Mwinyi yasitiwe chumvi.

    Wametia chumvi ila haijanoga!
  6. Chibolo

    Swali Chokonozi: Kwanini Mzee Mwinyi hakuzikwa kwao Mkuranga kapelekwa Zanzibar?

    Ila inaonekaza hizi familia za watoto wa sity na adija hazielewani
  7. Chibolo

    Kwa sasa meli zinazopita red sea ni zile zinazotoka bahari nyeusi kwa warusi na zinazoelekea Iran pekee

    Hahahah kwa sasa itawawia ngumu kufanya biashara za usafirishaji baharini na hilo ndo Iran na Urusi walikuwa wanalitaka
  8. Chibolo

    Kulikoni? Uwanja wa Amaan Mtupu Kumuga Mzee Mwinyi Zanzibar

    Kwanini hakupelekwa mukuranga lakini
  9. Chibolo

    Kwa hili la Serikali kushindwana kauli na hospitali binafsi kwenye kitita cha NHIF, Waziri Ummy asaidiwe kuondoka wizarani

    Bora kungekuwa na bima za Afya nyingi ili kuepo na ushindani wa huduma,
  10. Chibolo

    Hamas wasema wako tayari kwa suluhu na kwa vita pia.Waziita juhudi za Biden kuhusu Gaza kama ni diplomasia ya askirimu

    Ila Hamas wamechakazwa sasa hivi hawana ubavu wa kurusha roket hata moja, naamini hawatarudia tena
  11. Chibolo

    Kosa ambalo Mbowe analifanya katika siasa ni kumrudisha CHADEMA Dkt. Slaa

    Msiwaamini wanasiasa hata hao wanaotukanwa covid 19 watawarudisha siku si nyingi
Back
Top Bottom