Despite all the problems facing the married couples i wouldnt advise one to remain single. The positive effects of marriage outweigh the negative ones. The fact ni kwamba unapokuwa single, u happen to be so free na mara nyingi too much of freedom is harmful. Remaining single will make you happy...
Yote yanawezekana. Inawezekana kamegewa na pia huenda imetokea tu bahati mbaya wkt wa kuvaa. Wkt mwingine c rahisi kihivyo kuona mtu wkt anavaa hadi uwe kwenye nafasi ya ku-judge baadae kwamba alipotoka alikuwa ameivaa vizuri ila wkt wa kurudi ikawa imebadilishwa. At times we should be positive...
Congrats Mwanakijiji.
Ulichokisema ni ukweli mtupu ila kuna wakati kulikuwa na kesi pale BOT ya watoto wa vigogo ambao walikuwa wame-forge vyeti na kupatiwa nafas za juu kuliko elimu zao....sina kumbukumbu nzuri ile kesi imeishia wapi... Nadhan baadhi ya maofis kuna haya matatizo
Nadhani ni vizuri pia watu wakaweza kusoma alama za nyakati. Namaanisha kwamba kila sehemu inakuwa na mavazi ambayo yanaendana nayo. Otherwise utaonekana kituko sehemu ambayo hukutegemewa kuvalia hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.