Leo 9/9/2012, radio imaan, kama ilivyo kawaida yake, inaendesha mjadala ambao kwa ujumla wake unaeleza kuwa serikali ya Tanzania kila kitu kinaendeshwa kikristo kwamba waislam wanateswa, tengwa na kunyanyaswa.
Pia, wachangia mada,ambao ni mashekh, wanawahamasisha waislam wapigane kudai haki...
Uko sahihi ndugu lakini huyu askari aliyelipua bomu lazima awe wa kwanza kukamatwa na kufikishwa mahakamani kwani yeye hasa ndiye aliyefanya hilo kosa. Sasa yeye ataieleza mahakama kama alifanya vile kwa maelekezo ya bosi wake, RPC. Then RPC atakamatwa na kufikishwa mahakamani, ikithibitika huwa...
Mwenyekiti mtendaji wa mjengwablog ndugu Maggid Mjengwa amesema ataendelea kuandika habari zinazolihusu jeshi la polisi nchini licha ya wanahabari kuazimia kutoandika habari za jeshi hili ikiwa ni hatua ya kuonyesha kutoridhishwa kwao na tabia ya polisi kuua raia wasio na hatia na hususani tukio...
Ubabaishaji mkubwa ndani ya TFF ambao wanadhamana kusimamia maendeleo ya mpira wa miguu Tanzania utaangamiza soka letu. Wakati dirisha la usajili lilipofungwa, TFF waliongeza muda wa usajili kitu kilichoonesha nia yao ya kuvibeba baadhi ya vilabu ili vikamilishe usajili wao na huu ndo ukweli...
Sasa ndugu kwa hili unalalamikia nini TFF? Kama kweli Simba tumewasajili Ngassa na Okwi, kihalali, sisi tunaweweseka na nini? Acha yanga waongee na hao wachezaji, siku ya siku watakuja kuongea na uongozi wa Simba ili wawasajili. Simba tutaamua au kukubali ama kukataa, wachezaji wakilazimisha...
Wapenzi wa Simba wenzangu, mimi nina mawazo tofauti; UONGOZI WA SIMBA UNATUTANIA, haiingii akilini mchezaji AMESAINI MKATABA SIMBA, KABLA MKATABA HAUJAISHA ANASAINI TIMU NYINGINE na anarudisha hela, uongozi wa simba as if hawajui sheria za mikataba wanachukua hizo bila kufuata utaratibu maalum...
Kwa dhati kabisa, huwezi kuongelea watu ambao wamekuwa na mchango mkubwa katika kukuza na kuimarisha demokrasia bila kumtaja mh Mbowe na viongozi wengine wa Chadema. Tangu Mbowe amekuwa kiongozi wa chadema amefanya mambo makubwa sana ndani na nje ya chama.
Kwanza, amekiimarisha chama na leo...
Kwanza labda ningekuomba ueleze maana ya mfumo kristo ili tukusaidie vizuri. Lakini Tanzania haina dini wala serikali yake haiendeshwi kwa mfumo wa dini. Kama Tanzania ingeendeshwa kwa mfumo kristo bila shaka leo tungekuwa mbali sana kimaendeleo. Mfn, wakati wakristo nchi wanahaha kupeleka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.