Ninavyofahamu mimi ni kwamba zile nyumba ni zake nibafsi mkulu na ameweka na msikiti katikati...na kuna tetesi kwamba ujenzi ule unafanywa na serikali yetu na kuna watu walihamishwa maeneo ya karibu na pale na kujengewa nyumba nzuri sehemu nyingine ili mzee na ukoo wake wapate faragha
Haya mambo jamani ni kuyaangalia kwa undani wake sio kijuu juu namna hii...I happen kuwafanyia kazi moja hawa jamaa and walitoa malalamiko ya kupandikizwa kwa watu ili waihujumu kampuni kwa kuweka condoms kwenye chupa za hawa jamaa na hii inafanyika kwenye finishing section ambapo chupa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.