Kuna rafiki yangu alikuwa anaishi uku atwn akaja pata kaz uko dar lakin sasa ivi simwamin kabisa.
Hakiwa uku atwn alikuwa mkweli sana ukimkopesha atarudisha tu.
Lakin toka aingie jiji la dar namdai kama 4m ivi kila wakati ni ananipiga kiswahili ni mwaka sasa unepita nimeamua tu nimwachie...
Yah ndege uwoshwa ila kwa utaalam kidogo si kama gari.
Kwani kuna siku nilichek kwenye national geograph documentary ya crash investigation kuna ndege uku europe sikumbuki nchi ila ilioshwa vibaya maji yaliingia kwenye ki circle uwa kipo kwenye ndege kwa nje naisi ni radar inayomsaidia rubani...
Mangu afute miaka yote hapo nitamkubali sio kwa kuona mwaka huu ukata mkali ndo anasema watu tufanye kazi.
Pia mbio za mwenge zifutwe.mwenge uwekwe makumbusho pale na ikiwezekana waweke interval ya miaka ndo ukimbizwe.angalau kila miaka3 ivi.
Ingekuwa serikali makini awa watu wangepaswa wapelekwe hospital zuri na wawe chini ya uangalizi kwa.muda mrefu kidogo pia na psychological treatment wangewapatia.
Lakin ndio ivyo tz.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.