Jina hili lina nguvu sana , Aidha nakumbuka nilikuwa katika nchi ya vita burundi . Siku moja nilipita maporini , tulikuwa na gari tunatafuta kufika mji mkuu Bujumbura . Askari walisimamisha gari letu na kutaka uhalali wa sisi kuwepo yaani passport na nyaraka zote , wakati huo mimi nilikuwa na...
Afadhali hawa wa mabasi unaweza kusema nao wakakusikia hapo hapo. Sijawahi kuona abiria wa basi akiomba muziki uzimwe wengine wakakasirika . hii inaonyesha nyimbo zinazopigwa aidha watu hawazipendi na kelele ikiwa ni sehemu ya wao kuchukia . muziki unatakiwa kuwa ni ule mororo sana .
kwa safari ya kigomA dar kewa njia ya train Kuna train za aina mbili kihuduma kama sijakosea . kuna train inaitwa ordinary na ingine ni luxury. ukiwa unatoka kigoma train hii ya deluxe nafikiri ndiyo luxury, ilikuwa inapendwa sana kwa sababu iliaminishwa kuwa inasimama vituo vikubwa tu ...
Kujipanga wanakoamaanisha ni kule kwa kuleta vurugu . Yaani chadema ichokozwe na i react hapo wanaona sawa . nawasihi chadema kama kuna mtego uliowekwa kwao sasa hivi , wanasubiriwa wafanye vurugu . wamepanga kuwachokoza sana na kwa sababu ya maumivu ya kufungiwa kwa muda mrefu hawatavumilia...
kumbe kuongea ni kutokufanya kazi . kuna wanaofanya kazi huku wanalalamika . ndiyo maana wanasema Kumsifia mwanasiasa kwa kuwa amejenga shule , hospital kwa kupitia pesa ya uma . Ni sawa na kuisifia ATM kwa kukupa pesa zako.
lewiathan ni spirit na kama ujuavyo spirit . hichi ni kiumbe kipo majini na ndiyo kinachosababisha majanga mbali mbali kama kule Bermuda triangle . Aidha ni kweli kama mshana jr alivyoeleza katika biblia anatafsirika hivyo. Huyu anawakilisha ulimwengu wa Roho wa lucifer katika vilindi vya bahari...
kwa jinisi ninavyojua mimi , hata wasipofanya kampeni chadema wanapita . Aidha umuhimu upo katika wizi wa kura na figisu za kupiga kura . Siku ukiona haya mambo hamna chadema ipo ikulu . sababu kubwa ni kwamba CCM wamejitanabaisha kuwa wapinzani wakitoka nchi hii itakuwa na maendeleo .
juzi...
Huyu aliwahi kutetea mambo ya uchumi wa magufuli kuwa unakuwa na akatoa milinganyo ya kufikirika sana . Nafikiri hata ingekuwa mimi ningesema kuna siku atanikoroga . Waswahili wanasema kukaaa karibu na mahakama si kujua sheria . Alijiona ni mchumi zaidi wakati wakati taifa lilikuwa linateketea
Hivi kumbe huoni yaliyojiri . Uchaguzi wa kuiba kura 2020 .uliona moto wake ?. Wasingemshikilia mbowe kwa visingizio vyote hivyo. Takwimu zinaonyesha kuwa uchaguzi ukiwa huru na HAKI kwa Mara ya kwanza wapinzani wanachukua . Swala si sera pekee za chama . Watu wameichoka kijani . Magufuli...
ONEKANA (STAND ABOVE) . Kazi nzuri huwa hazionekani. Kama unataka kuwa na nguvu zaidi kazi nzuri tu haitoshi . kufanya kazi sana tu haitoshi ila unatakiwa ufanye kazi huku ukitambulikana (UKIONEKANA ) .Kazi yako isiwe overshadowed . Pata muda kuongoza na kujihakikishia unaonekana. UKITAMBULIKANA...
kwa mustakabali wa jamii ilitakiwa waache mambo yaendelee na kuhakikisha viongozi wanabanwa , wanaoathirika ni wananchi hata na serikali pia kwa ujumla .
Hapa ninachoona ni kwamba, kama wakisema tumekubali maana yake ubunge wameukosa. Mimi mwenyewe lazima niseme ni mwanachama ili niendelee hata kimahakama kuwa mbunge. Kuna maswali mengi kuliko majibu katika hili. Swali kuu, kwanini waliapa na wengine kutolewa magereza.
ccm imechokwa na watu . Tabia kubwa inayotishia amani ya ccm , ni pale mgombea anaposema sitaleta maendeleo mkichagua wapinzani . Sasa wanajiuliza mbona wale wenye upinzani ndiyo maendeleo yamezidi kwao . Wale wenye ccm wamechoka !.
Huu ni mpango ,yeyote ambaye atakuwa kikwazo kwa ajili ya wao kutofanikisha mpango wao . aidha anasingiziwa ana silaha , jambazi sugu , alihusika katika mauaji fulani , alikwepa kodi , alitakatisha pesa , wahamiaji haramu , .
kwa maana mtukio ya kuwafanya chadema kupunguza speed yapo mengi kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.