Search results

  1. M

    Dawa nzuri ya mtu anaetembea na mke wa mtu ni ipi?

    Watumie tu wasioonekana wamtangulize kunakostahili.
  2. M

    Tukio la kushambuliwa Lissu: Wahusika dhahania wa kufikirika

    Umesahau kuwa Lisssu ni BINADAMU. Anaweza kukumbwa na ugomvi wowote unaoweza kumpata binadamu yeyote, mfano mapenzi.
  3. M

    Wanaume wenye sifa na matendo haya hutufanya tukose hamu ya tendo la ndoa

    Ukitaka mwanamume mwenye sifa nzuri utoe K bure. Mtu akulipe halafu tena aanze kujifikiria? Ni mpango wa kujisevia tu.
  4. M

    Asilimia kubwa ya wanawake wa mijini wanajiuza ila wanabagua dau na mazingira ya kujiuzia

    Usishangae sana mkuu kupenda vya bure ni asili yao hasa wanawake wa kiafrika. Hata liwe na mshahara mkubwa kiasi gani bado litataka vya bure. Ndio maana yanaachia hata 0712/3/4... ili tu yabureke.
  5. M

    Asilimia kubwa ya wanawake wa mijini wanajiuza ila wanabagua dau na mazingira ya kujiuzia

    Huu ndio ukweli wenyewe. Ila mil 5 kubwa sana hata 30-50 wanaachia
  6. M

    Kuchepuka raha

    Sasa mbona anatuambia mumewe anagonga sana nje. Huko nje anawezaje kuwahudumia? Na wewe ndio wale wale!!!
  7. M

    Kuchepuka raha

    Ukiona mume anakukimbia sana jua mtambowako ni mbovu. Hata huko kwenye kuchpuka wanamchora tu na kulicheka dude lake. Hah
  8. M

    Kuchepuka raha

    Ukiona mwanamume anashindwa kutoa huduma masaa yote ana matatizo ya kiafya. Na kama mumewe ana kibamia na katuambia anachapa hovyo, huyo mwanamke ndio mwenye shida. Ndio maana jamaa anasurura nje (kama ni kweli). Kwa nini wengine wakubali kugongwa na hicho kibamia.
  9. M

    Kuchepuka raha

    Nimeona humu jf kuna mademu wamekuunga mkono saaaana. Ikumbukwe humu kuna watu wenye tabia kama za kwako, wengine waliolewa wakaachika, wengine ni waathirika wa vvu; hivyo wangependa kupata wafuasi wengi. Comments zao zimnipa picha ya nani humu ana tabia kama ya kwako. Mwanamke mwenye busara...
  10. M

    Kuchepuka raha

    Mleta mada unaonekana una asili ya umalaya tu. Mwanamke asiye malaya hawezi kujiingiza kwenye umalaya au uzinzi eti kwa sababu mume wake kafanya. Kinachonekana ni kwamba baada ya kuolewa ulitulia tu pengine kwa hofu kwamba jamii itakuonaje au kwa vile uliogopa kuachika. Lakini waswahili wanasema...
  11. M

    Jamani shemeji yangu huyu..... hadi jumapili tarehe 22/01/2017

    Huenda huyo mdogo wako hatumii mtandao mbadala ndio maana shemeji anafuata watuamiaji.
  12. M

    Kashata za kungu suluhisho la 'ashki' kwa kinadada

    mkeo anapokuambia hajisikii kufanya eti amechoka ujue anachepuka. Ujue tu kachoshwa na hogo la mtu mwingine. Haiwezekani kila siku mtu hajisikii kufwanya tendo.
  13. M

    Nampenda lakini naogopa kumwambia!

    Niambie tu kama ni mimi.
  14. M

    Ma-house girls wawa miiba kwa ndoa Dar

    Wakati mkigegeda maHG wake zenu nao wako busy kusaka mabuzi huko nje na ndio vikoba vyenyewe. Tembeleeni rahatupu.blogspot.com muone jinsi wake zenu wanavyoharibiwa minduku na wahuni huko mitaani!!!
  15. M

    Anataka nimpe mimba azae na mimi ila ni mkubwa kwangu

    Amekuzidi miaka mingapi? Tuanzie hapo kwanza.
  16. M

    Rais Magufuli, Mafuru apelekwe mahakamani sio kupangiwa kazi nyingine

    Hizi sheria za tz hata ukimfungulia kesi si hasara kwa serikali. Kesi ya mabilioni mwisho wa siku anapatikana na hatia anaishia kulipishwa faini ya laki 7. Ptyuuuuuu!
  17. M

    FAO la Kujitoa na Uchaguzi 2020

    Mdau kwa hili la fao la kujitoa nakuunga mkono mia kwa mia. Ikumbukwe fao hili ni malimbikizo ya makato yako kwa kazi uliyofanya (kama nakosea nisahihishwe). Hakuna sababu ya kumnyima mtu fao lake kes kuwa ni jasho lake.
  18. M

    Wadaiwa sugu ni hawa hapa

    11. Bank ya Stanbink kupitia kwa mshirika wake egma.
  19. M

    Facts za wadada wenye ajira nzuri

    Kupigiwa hakuangalii mwanamke yukoje ni tabia tu ya mwanamke mwenyewe kujiachia kwa wanaume wengine. Hata huyo uliye naye unawezakuta unapigiwa tu bila wewe kujua. Wachunga kondoo na Mashekhi wanapigiwa itakuwa ww?
Back
Top Bottom