Yan wayu wenhine sjui wanawazaga nn.mtasemabkila kitu freemanson kwa mtindo huo kila kitu under the sun ni freemanson shauri yenu maisha ndo hayahaya haya tupeni hizo simu zenu tutaziokota na tutazitumia bila shida yoyote life linasonga mbele.
"AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO"
Kaka Yeriko na Ben kazi nzuri mnafanya mana wengine tupo Dunia kwanza ila mnatuweka pamoja huko mahakamani kupitia updates zenu.tunasubie zaid kinachojiri mana dk 15 zishaisha.
Ahsanten!
Watu wenyewe hata hawaelewi maana ya halloween na kwanini wenzao wanasherehekea ikitokana na nini.wao ni kuiga tu yan kazi kukopi na kupaste tu.aibu mwaboaaaaa.
Mfa maji haachi kutapatapa.imewashika pabaya chadema mtaisoma number we baki na madai yako tu eti oooh chadema mnahamasisha migomo usisahau kwenda kwa nape upate malipo yako ya wikiend.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.