Kwa kweli TBC ni chombo kisichokuwa na uhuru wa kutoa habari, ni chombo ambacho kimebanwa na Serikali yetu ili kisitoe habari nyeti zenye uzito. Tunamkumbuka sana Tido Mhando.... kwa mwelekeo aliokuwa akiuonyesha kwa uma. Lakini sasa ni tofauti sana. Naamini chanzo cha hali iliyopo si Mkuu...
Haro,
Hatutaendelea kujenga ufisadi..... tunataka mabadiliko....
CCM ni kama mfuko uliotoboka, haujai kabisa, bora mfuko mwingine tuanze kuujaza ambao haujatoboka tutaondoka na mzigo.
Peoples power!!!!!!!!!!
M4C!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.