Search results

  1. D

    Wadada wa Mjini na Tabia ya Kuongeza 000

    [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] vibomu vya wanafunzi vimekushinda
  2. D

    Wadada wa Mjini na Tabia ya Kuongeza 000

    [emoji2] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] vibomu vya wanafunzi vimekushinda
  3. D

    Maalum kwa wanaohitaji kusafiri: Aina ya usafiri, bei za nauli, tahadhari za kuchukua

    Naomba kuuliza kwa Arusha ofisi za Tahmeed ziko wapi @ Falcon Mombasa?
  4. D

    Wanawake badilikeni

    Tena akome. Mimi mume wangu akienda kazini anatamani atoroke arudi nyumbani
  5. D

    AJALI: Basi la HBS laua wanne na kujeruhi 29

    Mwenyezi Mungu awanusuru majeruhi na kuwapunguzia maumivu. Wapumzike kwa amani waliotangulia mbele za haki
  6. D

    Naomba kujuzwa nauli ya kutoka Dar mpaka Mtwara

    Arovera tunaomba ufafanuzi zaidi kwani kuna mwenzangu anasafiri kesho kutoka dar kwenda tandahimba. Alikuwa apitie mtwara mjini ila kutokana na maelezo yako kuna uwezekano wa kwenda bila kupita mtwara mjini. Unaweza ukanitajia mabasi mazuri kutoka hapo mbagala rangitatu ili kuepuka usumbufu wa...
  7. D

    Tamisemi inamaana sisi tuliokosa ajira si watanzania?

    Hongera ndugu, yani naona kama mimi na wewe ndo tulikuwa mstari mmoja. Nashkuru Mungu, kweli subira yavuta heri. Wamenipanga halmashauri ya moshi mjini. Ila kuna wenzangu tulihangaika wote na bado hawajapangwa, wako kama 46.
  8. D

    Serikali haijaajiri wahitimu wote wa ualimu 2013\2014

    Ni kweli mkuu siyo wote wameajiriwa na masomo yote wamefaulu. Wangekuwa hata na supp ingekuwa kigezo. Huyo anaebisha ni haki yake ana uhuru wa kuongea
  9. D

    Tamisemi inamaana sisi tuliokosa ajira si watanzania?

    Mkuu nina uhakika na siwezi kukurupuka kuongea vitu vya uongo wakati na mimi ni mhanga. Labda kama walinipa matumaini, ukumbuke usemi wa "Serikali yetu ni sikivu,tutalifanyia kazi"
  10. D

    Tanzia: Mkuu wa Mkoa wa Mara aanguka ghafla na kufariki dunia!

    Duh! Sad news. Rest in peace RCO
  11. D

    Tamisemi inamaana sisi tuliokosa ajira si watanzania?

    Jamani wadau nami ni mhanga. Nimehitimu chuo cha ualimu marangu. Masomo ninayofundisha ni history na geography ila sijapangiwa kituo cha kazi. Sijui ndo mpaka mwakani maana nilienda hadi tamisemi na vyeti vyangu, wakadai tuangalie wiki hii kwenye internet ndo tunaendelea kusubiri wadau
  12. D

    Mtanzania mwingine avamiwa na kuumizwa vibaya huko Nairobi

    Si umeambiwa alikuwa nairobi kikazi? Maswali mengine bwana, msiwe wavivu wakusoma comment
  13. D

    For JamiiForums Mobile users

    Asante sana RGforever
  14. D

    For JamiiForums Mobile users

    RGforever imegoma
  15. D

    Tanzia: Dr. Sengondo Mvungi afariki Dunia

    Duh! Hujafa hujaumbika. Binadamu tumekuwa wakatili na wakuogopwa zaidi ya simba na fisi. Damu iliyomwagika na roho iliyotoka itawamaliza wengi. Pumzika kwa amani Dr. Mvungi
  16. D

    Rais Kikwete arudisha zawadi ya dhahabu

    Maandamano hapo ni kwa kujuana mkuu. Yawezekana mwalimu wake hakumfundisha kuacha nafasi kila baada ya neno. Nimepata shida kumwelewa kiongozi bora umeliona hilo nilijua mimi mwenyewe
  17. D

    Utakumbukwa milele Jane Mshana

    Rest in peace my friend jane. Ulikuwa charming kwa kila mtu. Nakumbuka Stephano Memorial University kule masoka ukiwa room 1 na Jack na Naike,mlikuwa mnapendana sana ingawa kozi tofauti. Tumekupenda ila Mungu kakupenda zaid. Poleni sana familia ya Mshana
Back
Top Bottom