Kawe hatujachoka kiasi cha kuongozwa na Jerry. Aendelee kuripot matukio. Mdee na Mnyika hawaangalii majimbo yao tu bali hata taifa kwa ujumla. Jamani 2015 tunahitaji Temeke na Kinondoni
hapa sijaona mwenye busara. mwislam anatetea uislam na mkristu anatetea ukristu. Je, vitendo vya kuchoma makanisa ni sahihi? naomba mwislam mwenye hekima ajibu tena atumie busara zake.
Kibe ana hoja nzuri tu. Tupunguze jazba tumjibu kwa hoja tu ili n yeye awe campaigner wetu tukakapokuwa tunaelekea Ikulu kurudisha na kuwafanya watanzania wafaidi rasilimali za nchi yetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.