Ludovick kuisafisha CHADEMA manake ni kwamba akiri kuwa ni kweli alipokea sh. elfu 50 za Mwigulu na software zote zilizotumika katika mchezo huo kutoka kwa Muhiddin Issa Michuzi na ni kweli aliwasiliana na Mwigulu kuhusu jambo hilo kama alivyosema Shushushu wa kujitegemea Mabere Marando, kitu...
Mti wenye matunda, ndio unaopigwa mawe, nani azungumzwe katika siasa ya nchi hii kwa sasa kama sio Dr. Slaa? Magazeti yaandike habari za mwanasiasa yupi ili yauze kama si Dr. Slaa? Chapa mwendo Dr wa PhD.
Nawakumbusha wanasheria wa Lwakatare kui copy ile video ya Mwigulu Nchemba juu ya matamshi yake jana kuwa yeye ndiye aliyegharimia vifaa kwa ajili ya kuirekodi video ya Lwakatare, ni ushahidi muhimu pia kuisaidia mahakama kufikia uamuzi wa haki
Kwani Babu Seya aligonga toto ya muzee? si ilikuwa ni kesi kabisa, mashahidi wakaletwa mahakamani watoto na wazazi wao wakaeleza ilivokuwa mahakama ikaridhika..?
Haka kamchezo nimekapenda, yaani watu wanalipwa elf 5 na kumi kumi ili wachkue kadi, afu tena wanazipeleka kwa watani wa mlipaji wao, nae mtani ndo kabisaaa anazichoma moto ili kuziondoa kwenye mzunguko, inabidi mlipaji achonge zingine tena kufidia hizi zilizoteketezwa kwa moto, aargh!!
Kinachoudhi hapo ni kwamba hakuna sehemu atakapowataja hao watu, kama angekuwa na tabia hiyo ya kuwataja hata huko vikaoni ingekuwa afadhali, zaidi ni porojo tu za kutafuta umaarufu wa kisiasa.
Dar es Salaam. Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta amesema kuwa kuna tabaka la wenye fedha lililojengeka, ambalo linahujumu utendaji wa Rais Jakaya Kikwete ili aonekane hajafanya lolote katika kipindi alichokaa madarakani.
Aidha, Sitta...
Hawa ndio wale waumini wa ile kauli ya "Rais anaangushwa na watendaji wake", inaniudhi...! Kama anaangushwa yeye utendaji wake ni upi kama sio kuwachukulia hatua hao appointees wake?
Si hilo tu, na gharama za sare mashati, vitenge na kofia za CCM manake hapo zaidi ya 80% wana sare za CCM kwa hiyo walikuwa wanawahutubia watu wao walewale ambao hawaji mkutanoni hadi wapate vitenge ila siku ya kura wanajua nn cha kufanya.
Jamani mimi nadhani tatizo lipo kwenye sheria zetu, maana hata nikitazama records za nyuma tunaona kwamba Hamad Rashid Mohammed mbunge wa Wawi ameendelea kuwa mbunge baada ya kufungua kesi dhidi ya kuvuliwa kwake uanachama na kesi ya msingi haijaisha, na ni kwa utaratibu huohuo Kafulila...
Katika mkutano wao wa kwanza uliofanyika maeneo ya Kamficheni walipika wali na nyama kitu kilichofanya watu waliohudhuria mkutano wa chadema katika eneo la Maendeleo kuondoka mkutanoni kuwahi sahani huko, na leo katika mkutano ulioanza hivi punde magari yaliyojaza watu kutoka Uyole, Utengule na...
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Mwanza imetupilia mbali ombi la Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) iliyofungua kupinga maamuzi ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza, ya kuendelea kuwatambua Meya wa Manispaa ya Ilemela, Henry Matata pamoja na Diwani wa Igoma kuwa madiwani halali, licha ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.