huyu jamaa ukiangalia kwenye kurasa zake za Facebook then utakuta amejiandika ni Chief Procurement officer wa Ocean Roads, swala ambalo si kweli, hivyo yeye kazi yake ni kula kwa kutapeli tangu afukuzwe kazi.
Alikuwa Mfanyakazi wa TIRDO kama miezi 4 iliyopita na alikumbwa na mkasa mkubwa wa ubadhirifu wa pesa, baada ya hapo alisimamishwa kazi na mwisho wa siku alitimuliwa kabisa.............. sasa anatimua kigezo na fursa ya kujulikana na walinzi na kisha anawatapeli watu maeneo ya hapa Ofisini...
kuna jamaa mmoja hapa mjini anaitwa deus torani huyu jamaa amekua akichukua fedha za wanafunzi wanaotarajia kwenda chuo hasa kwa wale waliokosa mkopo kuwa atawafanyia mpango majina yao yatoke kwenye second batch. Lakini napenda kuwaatahadharisha huyu mtu hafanyi kazi hapa bodi wala...
kuna jamaa mmoja hapa mjini anaitwa deus torani huyu jamaa amekua akichukua fedha za wanafunzi wanaotarajia kwenda chuo hasa kwa wale waliokosa mkopo kuwa atawafanyia mpango majina yao yatoke kwenye second batch. Lakini napenda kuwaatahadharisha huyu mtu hafanyi kazi hapa bodi wala hafahamiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.