Kila kitu kilimalizikia kanisani.
Chakula caterer TZS 3,000,000/-
Vinywaji ( maji, soda, seres juice) TZS 524,000/-
Gari tulitumia letu na niliendesha mwenyewe
Mavazi Mme,Mke na wapambe TZS 2,000,000/-
Kukodi tents na meza za chakula TZS 540,000/-
Picha TZS 150,000/-
Hotelini USD 300 siku...
Ila Mungu alivyokua wa ajabu utakuta hao jamaa hata hawaoni shida.
Lakini kiungwana inaleta Hali ya fedheha, Kila mwanaume anapenda heshima hasa anapokua na familia yake.
Nilikutana na jamaa wa Afghanistan akasema ni kosa lajinai kukubali kufedheheka mbele ya Mke wako, Bora upambane hadi ufe...
Ni kweli sipendi ualimu ila ni kazi nnaiheshimu sana. Ni kazi Baba ameweza kuendesha maisha yetu Hadi mauti ilipomfika, lakini kupitia kazi hiyo nimejifunza mengi ambayo yamenifanya niwe hivi nilivyo Leo.
Ila unakazi kubwa sana ya kufanya kwenye maisha Yako, jifunze utu na ubinadamu, acha...
Wabunge wote.
Zingatia wabunge waliopo Sasa hivi, si maanishi bunge halina umuhimu ila Kwa hawa tulionao bora tubaki na watu walioajiriwa kama mawaziri, Makatibu wakuu n.k akizingua kibarua kinaota nyasi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.