Hiyo ni ya kweli kaka Samsung S3 na S4 line yake lazima uikate iwe ndogo kuna mashine zake maalumu za kukatia. Hakuna original yenye kuingia line nzima nzima ukiipata hiyo ni feki!!! Hofu ondoa mzee
Tatizo la kupeleka BONGO FLAVOUR bungeni Bhangi haiishi kichwani mapema.Kayataka mwenyewe ngoja akome japo wengi wetu hatuoni kosa lake ila kosa la polisi tu.
Badala ya kuleta issue za maana ww unakurupuka na Makinda kuwa ana hotel na wakati huo hata ushahidi huna!! Acha unafiki na chuki binafsi kwani ww unayo orodha ya viongozi wenye biashara na mikopo sasa ya Makinda hukuwa nayo!!
Anzisha lingine
Mara MAJASUSI, USALAMA, POLISI(MAAFANDE), CHADEMA, WABAYA WA LOWASA, ROSTAM, Watakuja na waandishi wa habari wasiompenda KIBANDA!!!
Tuache porojo na kama unajua lolote kawasaidie wapelelezi na hiyo timu ya Waandishi/wapelelezi
Hapa KOSA kwa Jeshi la polisi ni KUKANUSHA TAARIFA ZA UONGO ZA GAZETI LA TANZANIA DAIMA? Wa kulaumu ni huyo MWANDISHI UCHWARA yeye kazipata hizo hbr wapi? POLISI WAPO RIGHT KUKANUSHA UONGO. "Hakuna NJIA PANDA hapa LABDA NJIA SHUKA!!!:bange:
Taarifa ipi ni sahihi sasa? Bodaboda alisimamishwa brbrni ndo akapigwa risasi, raia (fundi pkpk)aliyeuwawa alikuwa akikataa kupelekwa polisi au alipigwa risasi akiwa kituoni? Tanzania kufika huko bado, tunalazimisha kufika kufika huko kwa wote POLISI NA RAIA. R.I.P. MAREHEMU WOTE.
we nae naona akili zako c shwari na ninahisi hujakamatwa na polisi ili kuunganishwa na hiyo kesi ya mbagala make ulikuwepo kwenye vurugu!!!!! Muislamu gani
unapongeza ponda kwa ujinga wake?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.