nimeipenda hiyo,mr ndo ujue siyo wa ccm au cdm atakaewaletea maendeleo,NINYI WENYEWE WANANCHI NDIO MNAWEZA KUFANYA HIVYO,kwani hata akija mbunge wenu hakuna jipya atakalolifanya
mchang mawazo yako ni mazuri, but this is no tym to discus about this issue,we should put all eforts kwenye kutatua matatizo ya wananchi,I KNOW THIS IS HARD 4 SOME PEOPLE TO UNDERSTAND COZ PRESIDENCY HAS BCOM A VERY VALUABLE '''PRODUCT TO THEM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.