MAANDIKO matakatifu ya Biblia yanasema kuwa kipofu hawezi kumuongoza kipofu mwezake, kwamba wote watatumbukia shimoni.
Katika maandiko hayo hayo, Yesu Kristo anawasihi wafuasi wake kuwa hawawezi kuondoa boliti iliyoko kwenye jicho la mwezao kabla ya kuondoa kibanzi kwenye jicho lao.
Maneno hayo...
"Ili kupata maoni ya katiba mpya yatakayopelekea CCM na viongozi wake kupona hebu tafuta njia ya kuweza kuwaweka busy wananchi wa Tanzania kwa kujadili huku maoni ya CCM yakipita kwenye katiba". Watanzania zindukeni katiba ndo mkombozi wa yote haya!
Kwanini tusijifunze kutokana na historia ili turekebishe makosa tunabaki kulaumu fikra na mitazamo ya mwalimu?
Wana jf naomba kila mmoja wetu ainishe Tanzania anayoita ili maoni na mawazo yako/yake na yangu yawemo kwenye katiba ijayo. Nawakilisha
Huyu jamaa mwenye hii mada anafaa kuondoa "M" kwenye jina lake ili aendane na jinsi anavyo fikiri na jina lake litaendana sawasawa na upeo wake yani namaanisha "ZOMBA" atoe "M" ibaki ZOBA.
MUNGU ibariki TANZANIA iepushe na janga hili la mauaji ya watanzania wasio kuwa na hatia. Nakumbuka nilisha wahi kusoma kitabu kimoja kilicho zungumzia anguko la Tanzania, hii naona kama vile utabili wa kitabu kile unatimia. PRAY THE LORD.
Uoga wako ndo kushindwa kwako. Mjeda akaribishwe kuunga mapinduzi ya kweli mkono huku akiwa chini ya uangalizi mkali wa red guards. Be strong but not rude,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.