Search results

  1. ABEL NESTORY

    Sakata la Warere Beach hotel kwa mtalii mgeni, Serikali ichunguze, wahusika wachukuliwe hatua, wametia doa sekta ya utalii nchini

    Pia siamini asilimia 70 kwani wenzetu huwa wanakuwa na long term plan. Anaweza kuwa alimuita jamaa room then akamtoa kwa style ya kuchukua condom ili lengo litimie baadae. Kwakuwa ni long term plan mtu huwa na mipango ya muda mrefu ila anajua kwa baadae ataika lengo lake. Mfano anajua kuna...
  2. ABEL NESTORY

    Ushauri; Nashindwa kujikubali

    Asee kupitia huu ujumbe nagundua you are the best..... Ila umesahau kuwa hakuna kama wewe na kamwe hautakuwa kama wao. Hivyo ujue wewe ni special na wengi tunapenda ulichonacho hasa huo uspecial wako. Jiangalie kwenye kioo halafu fumba jicho moja huku ukitembea kwa madaha halafu simama kisha...
  3. ABEL NESTORY

    #COVID19 Leo askofu Gwajima ataongoza mjadala kuhusu Chanjo ya Corona utakaohusisha Wanasayansi bingwa duniani akiwemo mtengenezaji!

    Wakuu naomba kuuliza... Nimesikia kuna wimbi la nne linakuja na kwa wenzetu jirani nmeskia leo kwenye chombo kimoja kuwa kimeaza. 1) je kutakuwa na chanjo yake nyingine? Kama itakuwepo chanjo nyingine je tutachoma ngapi kam vnaendelea?? 2)kama ni kinga hiyo moja why linakuwa wimbi la pili na...
  4. ABEL NESTORY

    Waziri Mwigulu si ulisema ni Vocha tu? Imekuwaje?

    Hii kwa kiingereza inaitwa am kufing now
  5. ABEL NESTORY

    Waziri Mwigulu: Makato ya Miamala ya Simu tunatunisha mfuko, ni 'Solidarity Fund'

    Uliyemtuma asiseme kama wewe ndiye umesema naye amesema tusiseme kuwa amesema umesema tusiseme.
  6. ABEL NESTORY

    Makato kodi ya miamala haya hapa, kuanza kesho

    Kutuma hela toka Dar mpka moro ni bora upande gari maana utapata faida ya kuonana na ndugu yako..
  7. ABEL NESTORY

    Halotel hongereni sana, ila Tigo, Vodacom na Airtel mnazingua, jichunguzeni

    Naomba mrejesho wa mada wakuu. Leo tarehe 2 april 2021. Hawa wajamaa duu toka 1.2gb mpaka 420mb. Hatari sana
  8. ABEL NESTORY

    Hivi nani mwingine anakereka na hili swali toka kwa wife?

    Swali Hilo halinipi shida maana inaonesha anakujali mpaka anakuita beby. Kuna wakati mwanamke anapika chakula halafu mwanaume anafika na kuonesha kutopendezewa na kilichopikwA. Hivo kuepusha hayo Ni Bora unaulizwa maana ukila unachojiskia hata amani inakuwepo
  9. ABEL NESTORY

    INAUZWA Nauza used Azam Decoder full set

    Nahitaji jamaa yangu kama unayo
  10. ABEL NESTORY

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Hakuna channel za UEFA hata moja mkuu
  11. ABEL NESTORY

    Msaada namna ya kupata hili game

    Andika CHECKER BOARD GAMES then search utayapata mengi mpaka utakimbia mbioooo
  12. ABEL NESTORY

    Natafuta mtu wa kubadilishana nae king'amuzi

    Sehem gani mkuu Nami niko Arusha Nitafute kwa 0764001920.
  13. ABEL NESTORY

    Natafuta mtu wa kubadilishana nae king'amuzi

    Nitafute kwa 0764001920 ni kile cha zamani mkuu
  14. ABEL NESTORY

    Naomba msaada wa ufadhili

    Giusepe thank you very much my friend. Nmekaa kuhusu hilo namuamini sana Mungu na ndiyo maana sitaki kukata tamaa. Na pia nahitaji hata msaada wa kiroho pia. Naamini Mungu yupo na atanisaidia. I have stress, it hurt my soul and i feel like am loosing something.
  15. ABEL NESTORY

    Naomba msaada wa ufadhili

    Tang'ana mkuu ndiyo maana nimeandika hii post ili nishauriwe huko ndoto zinakotimia boss. Siyo vibaya ukanipa mwangaza nielewe
  16. ABEL NESTORY

    Naomba msaada wa ufadhili

    Nashukuru kwa marekebisho mkuu, nahitaji mtu wa kunisaidia kunisomesha.
  17. ABEL NESTORY

    Naomba msaada wa ufadhili

    Mkuu namba yangu ya simu ni 0764001920
  18. ABEL NESTORY

    Naomba msaada wa ufadhili

    Labda nijaribu mkuu ila shida yngu pia kwenye pesa hapo japo Mungu ni mwema. Ila shida nyingine ni kwamba vyuo vya serikali wanalimit muda uliomaliza Form four. Na inatakiwa uingie katika vyuo binafsi ambavyo kwa upande wangu nahisi ni vgumu sana ktokana na ada yao kuwa juu.
Back
Top Bottom