Pia siamini asilimia 70 kwani wenzetu huwa wanakuwa na long term plan. Anaweza kuwa alimuita jamaa room then akamtoa kwa style ya kuchukua condom ili lengo litimie baadae. Kwakuwa ni long term plan mtu huwa na mipango ya muda mrefu ila anajua kwa baadae ataika lengo lake. Mfano anajua kuna...
Asee kupitia huu ujumbe nagundua you are the best..... Ila umesahau kuwa hakuna kama wewe na kamwe hautakuwa kama wao. Hivyo ujue wewe ni special na wengi tunapenda ulichonacho hasa huo uspecial wako. Jiangalie kwenye kioo halafu fumba jicho moja huku ukitembea kwa madaha halafu simama kisha...
Wakuu naomba kuuliza... Nimesikia kuna wimbi la nne linakuja na kwa wenzetu jirani nmeskia leo kwenye chombo kimoja kuwa kimeaza.
1) je kutakuwa na chanjo yake nyingine? Kama itakuwepo chanjo nyingine je tutachoma ngapi kam vnaendelea??
2)kama ni kinga hiyo moja why linakuwa wimbi la pili na...
Swali Hilo halinipi shida maana inaonesha anakujali mpaka anakuita beby. Kuna wakati mwanamke anapika chakula halafu mwanaume anafika na kuonesha kutopendezewa na kilichopikwA. Hivo kuepusha hayo Ni Bora unaulizwa maana ukila unachojiskia hata amani inakuwepo
Giusepe thank you very much my friend. Nmekaa kuhusu hilo namuamini sana Mungu na ndiyo maana sitaki kukata tamaa. Na pia nahitaji hata msaada wa kiroho pia. Naamini Mungu yupo na atanisaidia. I have stress, it hurt my soul and i feel like am loosing something.
Labda nijaribu mkuu ila shida yngu pia kwenye pesa hapo japo Mungu ni mwema. Ila shida nyingine ni kwamba vyuo vya serikali wanalimit muda uliomaliza Form four. Na inatakiwa uingie katika vyuo binafsi ambavyo kwa upande wangu nahisi ni vgumu sana ktokana na ada yao kuwa juu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.