Huyo mtonyaji wako naona haukumpa mtonyo wako ( hasa wa nyuma) ili akupe mtonyo kamili. Nasema hivi kwa sababu Mh Mnyika aliongea kabla ya Mh Lipumba kusimama na kuomba kujitoa. Na kama ulimpa basi haukumpa vizuri mi napendekeza urudi kwake ukamgawie tena hako-kamtonyo ili naye aweze kukutonya...
Tanzania Population Projection (Official Statistics from National Bureau of Statistics)
TLE = 56 years (2012)
Male LE = 54 years (2012)
Female LE = 57 years (2012)
Hizi ni kwa mujibu wa projections zilizotolewa na ofisi ya taifa ya Takwimu. Sasa kama ni kuangalia usahihi ni nani sahihi...
hapa ni ushabiki zaidi ya hoja ya msingi...Kama mpokea habari ...Je Gazeti la Serikali linataka kufikisha ujumbe gani? Maana wanasema Chadema wamepotosha....swali wamepotosha nini na sahihisho lake ni lipi? Wanajamvi kumbukeni kuwa wakati wanatoa tamko huhusiana na kauli ya Mh. Membe walichambua...
Hii ahadi ni tusi kwa vijana wetu ambao kwa kuwepo kwao kwenye biashara hiyo si kwa kupenda bali ni mfumo m-baya wa utawala wa serikali ya CCM. Hivi RIZone naye ni moja ya walengwa wa hizo complekz? na Je hii sekta ya umachinga ni ya kuduma Tanzania. kama jibu ndiyo naomba nipata kujuza namna ya...
Msingi wa kesi hii ni kufafanua maana ya neno ADABU halafu tumlinganishe na aliyetajwa kwamba hana adabu...baada ya hapo jaribu kuangalia chanzo cha adabu ya mtu kinaanzia wapi .... labda familia...sina hakika...
Tukumbuke hata Mchungaji Mtikila alimwambia Rais wa nchi kuwa alikuwa MPUUZI...
Hivi ile hotuba ya MWL JKN ya kukemea mambo ya udini na ukabila imefichwa wapi siku hizi. Kwa mujibu wa nyenyere si ajabu kesho Mtazania likaandika: Serikali ya JK si ya Kibabila kwa vile kuna wachaga wengi kwenye taasisi za umma... na kama muda ungetosha kesho kutwa: Serikali ya JK si ya...
cha kusikitisha mambo mengi aliyo ahidi yako nje ya Ilani yao. Hata ukimuliza kwa mfano kwani nini hatuna kiwanda cha ndege dar lazima atakuwa na jibu. Hilo amekiri baada ya kuulizwa ahadi zake zikoje: Akajibu kwamba kuna ahadi zilizopo kwenye ilani na ahadi za papo kwa papo kulingana na...
Tafadhali fuatilia habari hii;
Mwandishi Wetu
SERIKALI imetishia kulifunga au kulifutia usajili gazeti la Mwananchi kwa madai kwamba linaandika habari za uchochezi dhidi ya serikali ya awamu ya nne.Barua ya serikali yenye kumbukumbu namba ISC/N.100/1/VOL.V/76 iliyoandikwa kwa mhariri mtendaji...
Wakuu, hivi kweli JK ana mpango wa maendeleo kwa nchi hii? Kama jibu ni ndiyo basi atakuwa amekosea sana kufikiria kuendelea na biashara za wamachinga kama shughuli ya msingi katika kuinua uchuni wa nchi yetu. Kwa mtazamo wangu machinga ni biashara lakini si biashara itakayoitoa Tz hapa ilipo...
Asante BWAXY,
Watanzania tunaamini eti nchi yetu ni ya kidemokrasia...Siwezi kuamini katika hili...hawa watu wawe na aibu...hasira ya watu inajikusanya kama vile bomu lililotegwa...itakapolipuka patakuwa hapatoshi...
Vyama vya upizani ni zamu yao kukomba viti vingi vya ubunge..Hii itasaidia hata kama nafasi ya unyerere itakosekana...Mungu ibariki Afrika >>>Mungu ibariki Tanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.