Nadhani ni vizuri watanzania tukajifunza kujibu hoja kwa hoja, wakati tunataarifiwa juu ya kuachiwa kwa ndege yetu of which ni jambo la furaha kwetu sote, swali la kujiuliza mbona hatukuwa tumepewa taarifa juu ya kukamatwa /kuzuiwa kwake kabla na wasemaji hawa hawa wanaotoa habari za kuachiwa...
Sifongo umesema kweli kabisa, Rais asitarajie umoja wa kitaifa kwa kuwatenga wale wote wasiokuwa upande wake, na wala haitokaa itokee kwamba watu wote watakuwa na msimamo mmoja na kwa maana hiyo wote watakuwa chama tawala, lazima angalie ni kwa namna gani anaweza kupata saport ya wale wasiokuwa...
Tunaweza kujipa matumaini kwamba hawa jamaa wachochezi, wanamchukia Rais wetu kwa jinsi anavyopambana na ufisadi, Rushwa na maovu mengine, lakini kuna umuhimu sana wa kuyafanyia kazi haya.Tanzania sio kisiwa kiasi kwamba tunaweza tukasavive wenyewe, ni lazima ulimwengu uwe pamoja na
Unadhani...
Kwako wewe kwa waziri na mkuu wa mkoa kuanza kutoa shutuma kwa kijana juu ya dhana ya kujiteka kabla ya taarifa ya uchunguzi unaona ni professional attitudes? Taarifa ya RPC wa Iringa na Kamanda wa Dar es salaam juu ya mhusika mmoja kutofautiana unaona ni sahihi ? kwako wewe report ipi ni sahihi...
Hii ni njia nzuri ya kudai haki pasina kuleta vurugu, mahakama ni chombo huru kwa hiyo kitatoa mwongozo katika jambo linalobishaniwa. All the best Tanzania ndio mshindi katika huu uamuzi.
Kuna kitu kinaitwa kanuni za maumbile hapa Duniani,mwenyezi Mungu anatutaka sisi binadamu tuzitumie ili kutoyaweka maisha kwenye rehani, ndio maana ukitaka kujenga nyumba imara lazima utumie vipimo sahihi kama hautofata ushauri huo wa kitalaam ukapata madhara unawezaje sema MUNGU AMEAMUA? lakini...
Tangu ameleta C &P nikaona najadiliana na mtu ambaye hajitambui, ina maana yeye amegoogle tu title bila hata ya kuifanyia kazi na kuileta anataka wewe uanze kazi ya kufanya ufafanuzi kwa madai ambayo ni baseless
Kama umemsikiliza proffesa paramagamba Kabudi vyema utagundua kwamba juu ya madai ya kodi mbalimbali ambazo Tanzania inadai muda ulikuwa mdogo, kwa sababu docuements za kuzipitia zilikuwa nyingi mno, lakini hata hivyo wakati wanaendelea kufanmya verication ndio wakasema wanatoa dola 300...
wewe u
Wewe na watu wa aina yako mnasumbuliwa sana Islamaphobia , yani wewe Bush kuwaua watu Iraq kwa kisingizio cha kutafuta siraha za maangamizi ndio unasema maendeleo? Afganistani unakosema wewe unajifanya kiziwi kwamba Russia alikuwa ametawala maeneo yale hivyo Amerikla akaona maslahi...
Kama Mungu aliyeandikwa katika Quran na Biblia hayupo badala yake , kipo nini ? au yupo nani na unawezaje pasina shaka kututhibitishia kwamba yupo huyo ambaye sio Mungu maana sisi twaamini yupo na tunatoa mifano kwa kutumia vitabu tunavyoamnini kwamba yupo .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.