Wadau naombeni ushauri.
Mume wangu nampenda sana ila ni mpole kuongea kwake mpaka umuongeleshe umchangamshe nikiamua nami kuuchuna basi tunapiga kimya. Siku akiamua kuchangamka tu mwenyewe basi raha siku nzima. Tatizo hadi kitandani ni mpole mi nisipomuanza basi tutakaa kama kaka na dada mpaka...
Wadau habari zenu.
Ninataka kuanza biashara ya bodaboda ila kwa mkataba. mwenye ujuzi naomba msaada wa maelezo inavyokuwa tafadhali. nahitaji kujua dereva anapaswa alete kiasi gani cha fedha kwa wiki, na mkataba huwa wa muda gani? na service anafanya yeye kwa pesa zake au nafanya mimi mmiliki...
Wazima wadau.
Nimepigiwa simu jana na rafiki yangu analalamika kuhusu mume wake, labda kwa pamoja twaweza kumpa ushauri.
Mumewe alisimamia harusi jumamosi iliyopita ya rafiki yake, alikuwa kama maid, kulikuwa na maids wa kike pia. baada ya harusi katika pekenyua pekenyua yake ( si unajua...
Karibuni JEWS CONSTRUCTION inapatikana Kerege na Bunju.
Tuna supply vifaa vya ujenzi.
Tume establish kiwanda cha matofali kilichopo Kerege na Bunju.
Tunatoa tofali zenye ubora wa hali ya juu, kwa mfuko mmoja wa 42.5R tunatoa tofali 28 hadi 30 za inchi 6 na bei ni 1200 kwa kila tofali moja...
Karibuni JEWS CONSTRUCTION inapatikana Kerege na Bunju.
Tuna supply vifaa vya ujenzi.
Tume establish kiwanda cha matofali kilichopo Kerege na Bunju.
Tunatoa tofali zenye ubora wa hali ya juu, kwa mfuko mmoja wa 42.5R tunatoa tofali 28 hadi 30 za inchi 6 na bei ni 1200 kwa kila tofali moja...
Karibuni JEWS CONSTRUCTION inapatikana Kerege na Bunju.
Tuna supply vifaa vya ujenzi.
Tume establish kiwanda cha matofali kilichopo Kerege na Bunju.
Tunatoa tofali zenye ubora wa hali ya juu, kwa mfuko mmoja wa 42.5R tunatoa tofali 28 hadi 30 za inchi 6 na bei ni 1200 kwa kila tofali moja...
uzuri sijasema siridhiki,,ananikojoza uzuri..sema tu kifo cha mende style moja kila siku nayo yachosha.
wala sina hasira, kukasirika ni sawa na kukasirikia mtu simjui ni sawa na kukasirikia ukuta
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.