Cha ajabu yeye anakataa ila anasema pamoja na kuwambia hizo naomba msamaha wakati tunaendelea na vikao na wazazi wangu wazazi wangu wakagundua kitu fasta kuwa mawasiliano yameamia kwa mdogo wake ambaye yeye alikuwa anasimamia usuruhishi kwavile lawama zitaenda kwake maana yeye ni ameshindikana...
Hatua nilizochukuwa nimkurejesha kwao
meseji nilizoprintiwa kwenye mtandao ambao alikuwa akitumia hafai hata chembe kuwa mke wa mtu ni meseji chafu sana alikuwa anachat na wanaume wanne kwa meseji za mapenzi kwa wakati mmoja NAMSHUKURU MUNGU SIKUFANYA MAUWAJI ila kwa sms hizi hali ni mbaya...
kaka sijawahi kama ningekuwa mchafu ningeanza na mdogo wake maana nimemkwepa sana, na mtaani nina heshima kubwa lakni kwa sasa nimevuliwa nguo kabisa
rafiki mmoja ambaye amekili kwa mke wake na kujutia hili anajisikia vibaya ambaye nae mke wake na mke wangu walikuwa kifanya wote umalaya ila...
It' true guys ina pain sana na michango yetu yote nimeipenda swala la kumfumania halina msingi magonjwa ni mengi ameyafanya haya kwa kukusudia kabisa kwani hakuogopa hata rafiki yangu ambaye nilimpa hifadhi kwangu ambaye ndy yeye alikuwa akimfungulia geti mbaya zaidi mwanangu wa umri miaka 5...
Yamenitokea kweli wadau Mke wangu wa ndoa aliingiza mwanaume ndani ya nyumba na kulala nae mpaka asubuhi kwakati me nk safari kibiashara adhabu yake ni nini? Hii ni pamoja kuvuluga mtaa yaani ametembea na marafiki zangu
acha uongo wewe unaijua kahawa wewe wala hujuwi hata chembe la sakata la zao la kahawa kwa wilaya yetu kamuulize comred Nzambi (MB) ndy anajua kazi kubwa aliyoifanya Kimoro hawa unaosema Lima ambao mdau wa kiwanda hicho ni Profesa Magembe hao ndy wameua soko la kahawa na walikuwa bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.